MchukiaUonevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 207
- 79
Hivi baada ya kupatana wale waliokuwa mashabiki wa ugomvi wa hawa watu inakuwaje? Nauliza hivi kwa sababu kuna watangazaji wa clouds walikuwa wanaenda hewani kipindi kizima kumshambulia Mbilinyi because of their personal interests!