Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Tarime na Rorya Bw. Constantine Masawe amesema Tundu Lissu na watuhumiwa wengine watatu ni watu wa Singida hivyo wanawahoji wamefuata nini Tarime.
Nionavyo mimi watu wa aina hii ya Masawe wanatupeleka pabaya. Iweje leo mtu wa mkoa mmoja azuiliwe kuingia mkoa mwingine ndani ya nchi hii huru isipokuwa kwa ruhusa ya Polisi.
Kama Tundu Lissu ni mtu wa Singida na yuko Tarime na hilo linaonekana ni jambo la ajabu kwa Masawe, je yeye kamanda Constantine ni Masawe wa Tarime?
Nionavyo mimi watu wa aina hii ya Masawe wanatupeleka pabaya. Iweje leo mtu wa mkoa mmoja azuiliwe kuingia mkoa mwingine ndani ya nchi hii huru isipokuwa kwa ruhusa ya Polisi.
Kama Tundu Lissu ni mtu wa Singida na yuko Tarime na hilo linaonekana ni jambo la ajabu kwa Masawe, je yeye kamanda Constantine ni Masawe wa Tarime?