Mkuu hata mimi nimeshangazwa na kauli ya Massawe, anaonyesha ni jinsi gani alivyo na ufinyu wa mawazo, na hii inaonyesha kuwa ukweli wa tukio zima la mauaji ya Tarime anajua ila kutokana na kupewa maagizo na chama cha magamba anaamua kuchakachuwa ukweli, that's why anakosa hata busara ndogo ya kuingiza hoja dhaifu ya kusema kwamba kwa nini watu wa mkoa mmoja wanaenda kwenye mkoa mwingine katika tukio kama la msiba, shame on you Kamanda Massawe!!!!!!!!!!!
Tunasubiri sasa baada ya uchunguzi wa daktari polisi wa massawe na ccm watachukuliwa hatua gani,
Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Tarime na Rorya Bw. Constantine Masawe amesema Tundu Lissu na watuhumiwa wengine watatu ni watu wa Singida hivyo wanawahoji wamefuata nini Tarime.
Nionavyo mimi watu wa aina hii ya Masawe wanatupeleka pabaya. Iweje leo mtu wa mkoa mmoja azuiliwe kuingia mkoa mwingine ndani ya nchi hii huru isipokuwa kwa ruhusa ya Polisi.
Kama Tundu Lissu ni mtu wa Singida na yuko Tarime na hilo linaonekana ni jambo la ajabu kwa Masawe, je yeye kamanda Constantine ni Masawe wa Tarime?
Mbona yeye kamanda ni Massawe amefuata nini Tarime huko???
Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Tarime na Rorya Bw. Constantine Masawe amesema Tundu Lissu na watuhumiwa wengine watatu ni watu wa Singida hivyo wanawahoji wamefuata nini Tarime.
Nionavyo mimi watu wa aina hii ya Masawe wanatupeleka pabaya. Iweje leo mtu wa mkoa mmoja azuiliwe kuingia mkoa mwingine ndani ya nchi hii huru isipokuwa kwa ruhusa ya Polisi.
Kama Tundu Lissu ni mtu wa Singida na yuko Tarime na hilo linaonekana ni jambo la ajabu kwa Masawe, je yeye kamanda Constantine ni Masawe wa Tarime?
haelewi kuwa Lissu ni waziri wa Katiba na sheria (Kivuli) , bahati mbaya hata historia ya Lissu imemtupa mkono, kuwa Lissu ni mwanaharakati hai katika sekta hiyo, sie tulio kulia jirani na migodi tunamjua fika toka miaka 15 iliyopita , huyu ni sawa na Saro wiwa wetu, amekua nasi hatua kwa hatua, akitupigania hata kabla hajawa mbunge,
akili za huyu Polisi zimekaa kiuononi.