02 August 2023
Mganza, wilaya ya Chato
Tanzania
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ameongea na wananchi wa Mganza Chato.
Asikiliza vilio vya wavuvi na wafugaji vya wananchi wa eneo hili la kanda ya ziwa ikiwemo Mganza Chato, Tarime, Bariadi, Kisesa, Meatu.
Askari wa hifadhi na serikali ya CCM hawatumii mfumo sahihi wa haki jinai bali wanapiga risasi wananchi bila ya kuwafikisha mahakamani wahukumiwe badala yake wanajiamulia kutoa hukumu ya kifo bila kutumia mahakama wakati sheria hazisemi uvuvi au ufugaji ni kosa la jinai na huhukumiwa kwa adhabu ya kifo amesikitika Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu.
Mganza, wilaya ya Chato
Tanzania
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ameongea na wananchi wa Mganza Chato.
Asikiliza vilio vya wavuvi na wafugaji vya wananchi wa eneo hili la kanda ya ziwa ikiwemo Mganza Chato, Tarime, Bariadi, Kisesa, Meatu.
Askari wa hifadhi na serikali ya CCM hawatumii mfumo sahihi wa haki jinai bali wanapiga risasi wananchi bila ya kuwafikisha mahakamani wahukumiwe badala yake wanajiamulia kutoa hukumu ya kifo bila kutumia mahakama wakati sheria hazisemi uvuvi au ufugaji ni kosa la jinai na huhukumiwa kwa adhabu ya kifo amesikitika Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu.