Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Ukombozi waja, hawa CCM dawa yao iko kwa jiko
Tunasubiria cdm watoe maamuzi magumu. Matamko yametosha.
Tumemzoea huyu mTUNDU lisu. Kasuku mzuri sana wa CDM. Pamoja na kubwabwaja upuuzi wake, sheria ichukue mkondo wake. Kwa maoni yangu, watuhumiwa hawa waliojaribu kumbaka DC, WANASTAHILI KUHUKUMIWA KIFO.
Kufuatia kufanyiwa fujo na wale wanaosadikiwa kuwa wanachama wa CDM na kupelekea kukamatwa kwa wabunge wawili wa CDM..hatimaye leo asubuhi hapa Igunga CDM wametoa tamko kupita kwa mkurugenzi wa haki na sheria Mh.Tundu Lissu..Akizungumza kwa hisia na kwa uchungu,Tundu amedai amesikitishwa na kitendo cha polisi kuwakamata wanachama na wabunge wawili wa CDM na kuwapeleka kituo cha polisi cha Tabora mjini badala ya kile cha Igunga ambacho ndipo walipokamatwa....Aliendelea kusema kwa siasa hizi za unyanyasaji na kamatakamata ya polisi Igunga italeteleza maafa makubwa pale wananchi wanaposhoshwa na unyanyasaji huu wa wazi....Tindu Lissu ameomba serikali kuzingatia sheria na taratibu za uchaguzi hili kuepusha maafa yanayoweza kutokea sio Igunga tu bali hata kwa chaguzi zijazo....Tundu alimalizia kwa kusema kwa kawaida mabadiliko yanaambatana na changamoto nyingi ambazo kama serikali ya CCM itashindwa kuhimili taifa lataelekea katika maafa makubwa kuliko kawaida....na amewashukuru wana Igunga kwa support yao kubwa wanayotoa kuleta mageuzi Tanzania...
<br />Hili linaweza kuwa Tamko la 2000 kutolewa na CDM, tumechoka na hayo matamko yenu yasiokuwa na tija kwa taifa.<br />
Tundu Lissu, unalalamika nini wakati CDM walitaka kumbaka Mama wa watu DC
Tumemzoea huyu TUNDU Lisu. Kasuku mzuri sana wa CDM. Pamoja na kubwabwaja upuuzi wake, sheria ichukue mkondo wake. Kwa maoni yangu, watuhumiwa hawa waliojaribu kumbaka DC, WANASTAHILI KUHUKUMIWA KIFO.
Wewe unadhani wakina Mandela wangekuwa kama hawa wa cdm ubaguzi ungeisha na kaburu angeiachia SA. Viongozi wanatoa matamko hakuna vitendo unategemea ni sasa. Wanawatumia walalahoi kama mitaji yao ya kisiasa tu.
Tumechoshwa na matamko ya hawa cdm tunataka vitendo, huko arusha mmetoa matamko wee hakuna tija yeyote ni business as usual. Nasema tumemechoka aah!
Hivi wewe unajua majukumu ya DC? au unaongea tu hata sheria za nchi hamzifahamu nyie mnajua Fujo tuAcha ujinga wewe! Huyo DC alienda kufanya nini sehemu anayofahamu kuna mkutano wa chama pinzani? Alienda makusudi ili kutafuta sbb ya kuichafua CDM! Hana lolote! Alitumwa tu huyo!