johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amekwenda Kituo cha Polisi cha Mwandoya Jimboni Kisesa na kuwashukuru kwa namna walivyomlinda yeye, Ujumbe wake na Mikutano yao muda wote walipokuwepo Kisesa
Polisi walionekana kufurahishwa sana na uungwana wa Tundu Lisu
Mungu wa mbinguni awabariki Polisi wetu!
Polisi walionekana kufurahishwa sana na uungwana wa Tundu Lisu
Mungu wa mbinguni awabariki Polisi wetu!