bitare
Senior Member
- Jul 13, 2023
- 192
- 563
Poul Makonda ametuhumiwa na Tundu Antipasi Lissu kwa mara ya pili ya kwanza ikiwa ni katika moja ya mikutano yake huko Marekani alipokua akizungumza na watanzania waishio huko (Diaspora).
Na kwa mara nyingine akiwa katika kituo kimoja cha television huko Kenya kua yeye ndio alikua kiongozi wa waliomvamia nakumshambulia kwa risasi zilizotaka kumsababishia kifo, na zimemacha akiwa mlemavu.
Baada yatuhuma hizo mwandishi wa habari wa gazeti moja akampigia simu Poul Makonda kutaka kujua ukweli dhidi ya tuhuma zile Makonda akamjibu mwandishi kua swali lile akamuulize Mama yake.
Mwandishi hakuishia pale aliwapigia Polisi pia ambao sikuzote walimsubiri Tundu Lissu arudi ili wamuhoji nao wakawa bize simu zao ni zaidi ya wiki sasa tokea Lissu atoe tuhuma hizo na mtuhumiwa bado anadunda mitaani,
Je, majibu haya ya Polisi na Poul Makonda yanamaana gani? Dhidi ya Tuhuma za Lissu.
Pia soma >Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu
Na kwa mara nyingine akiwa katika kituo kimoja cha television huko Kenya kua yeye ndio alikua kiongozi wa waliomvamia nakumshambulia kwa risasi zilizotaka kumsababishia kifo, na zimemacha akiwa mlemavu.
Baada yatuhuma hizo mwandishi wa habari wa gazeti moja akampigia simu Poul Makonda kutaka kujua ukweli dhidi ya tuhuma zile Makonda akamjibu mwandishi kua swali lile akamuulize Mama yake.
Mwandishi hakuishia pale aliwapigia Polisi pia ambao sikuzote walimsubiri Tundu Lissu arudi ili wamuhoji nao wakawa bize simu zao ni zaidi ya wiki sasa tokea Lissu atoe tuhuma hizo na mtuhumiwa bado anadunda mitaani,
Je, majibu haya ya Polisi na Poul Makonda yanamaana gani? Dhidi ya Tuhuma za Lissu.
Pia soma >Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu