Hivi wewe unajua majukumu ya DC? au unaongea tu hata sheria za nchi hamzifahamu nyie mnajua Fujo tu
JF Hate Preacher...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe unajua majukumu ya DC? au unaongea tu hata sheria za nchi hamzifahamu nyie mnajua Fujo tu
Hili linaweza kuwa Tamko la 2000 kutolewa na CDM, tumechoka na hayo matamko yenu yasiokuwa na tija kwa taifa.
Tundu Lissu, unalalamika nini wakati CDM walitaka kumbaka Mama wa watu DC
Dc yeye ndiye alikuwa anabaka kampeni ya chadema.hakuna ubakaji ulishawahi kufanywa mchana kweupe.Na hao watendaji wa serikali wanaojifanya vihelehele vya kutimiza matakwa ya wakubwa wao dawa yao ni hiyo tu sababu ukiita polisi kuja kuwakamata hawaji .Hili linaweza kuwa Tamko la 2000 kutolewa na CDM, tumechoka na hayo matamko yenu yasiokuwa na tija kwa taifa.
Tundu Lissu, unalalamika nini wakati CDM walitaka kumbaka Mama wa watu DC
sheria za uchaguzi zinaruhusu mtu yeyote kukamatwa iwapo atakiuka au kuvuruga kanuni za uchaguzi zilizo wekwa kwa mujibu wa sheria.mia
Nashangaa sana!dc ndo muhimu zaidi kuliko wabunge?alienda fanya nini sehemu ambayo cdm inafanya mikutano yake?any way katika ukombozi wa dhati lazima damu zimwagike ili ziwe sawa na mbegu zinazomea upya kwa ukombozi(grain of wheat by NGUGI WA THIONG'O)
<br />Hili linaweza kuwa Tamko la 2000 kutolewa na CDM, tumechoka na hayo matamko yenu yasiokuwa na tija kwa taifa.<br />
Tundu Lissu, unalalamika nini wakati CDM walitaka kumbaka Mama wa watu DC
Hili linaweza kuwa Tamko la 2000 kutolewa na CDM, tumechoka na hayo matamko yenu yasiokuwa na tija kwa taifa.
Tundu Lissu, unalalamika nini wakati CDM walitaka kumbaka Mama wa watu DC
kazi gani hiyo ngumu anayo fanya, zaidi ya kupiga domo. kelele nyingi bila mafanikio yeyote. Nyie mnajulikana, mambo yakiwa magumu basi mnatishia fujo. tumewazoea. Igunga hampati na mkileta za kuleta tunatembeza kipigo cha uhakika.Pole sana Mh kwa kazi kubwa na nzito unayoifanya!!! Wasijaribu kuturudisha nyuma....!! Jimbo hilo ni letu na ushenzi wowote utakaoendelea kufanyika itakuwa kama DC, haitajilisha nani kahusika...
Hebu hesabu matamko ya CCM halafu ulinganishe na ya CHADEMA yapi yamezidia na yapi yamefanyiwa kazi....Tumechoshwa na matamko ya hawa cdm tunataka vitendo, huko arusha mmetoa matamko wee hakuna tija yeyote ni business as usual. Nasema tumemechoka aah!
nashangaa sana!dc ndo muhimu zaidi kuliko wabunge?alienda fanya nini sehemu ambayo cdm inafanya mikutano yake?any way katika ukombozi wa dhati lazima damu zimwagike ili ziwe sawa na mbegu zinazomea upya kwa ukombozi(grain of wheat by ngugi wa thiong'o)
sijui ni uvivu wa kuandika, sijui ni tabia za kwenye facebook...halafu sijakuelewa unataka tuelewe nini kutoka kwako...unaimanisha tuache kuwa unga mkono kwasababu watakuja kutugeuka...Mara nyingine nawaza iz realy jf 4 great thinkers or wanachama na mashabik wa vyama fulan? Nasema hv sbb nimejarib kufanya utafit khs wanasiasa na kugundua kuwa wote lengo lao moja. Mwaka 1991 nilibahatika kushuhudia uchaguz wa kwanza wa vyama vingi nchini Zambia uliomweka Chiluba madarakan kwa ushind wa kishindo lkn nilikuja kushangazwa na jinc alivyokuja kumaliza muda wake akiwa na 2huma za kifisad. Mfano wa pili ni kebaki njinsi alivoingia madarakan kwa sapot kubwa ya wananchi na vyama vya upinzani lkn angalia ye alivoshindwa kuvumilia kuachia ngazi mpaka yakatokea yaliyotokea kenya wa tatu ni seif na cuf zanzibar ilipoundwa serikal ya mseto nilijua sasa zanzibar shida zitakwisha lkn wapi maisha ndo yanazid kuwa magumu kisiwan aliahid kupeleka speed boti Pemba matokeo yake chini ya wizara inayoendeshwa na waziri wa cuf ndugu ze2 kibao wamepoteza maisha kwenye jeneza la baharin.Ninachojaribu kusema ni kwamba let us try to think na co 2 kwamba 2hadaike na ahad hewa za wanasiasa sbb 4 them we are just madaraja ya kuwavusha waendako iliwakishapata wafaid maisha halafu ce 2endelee kuteseka na kulalamika. Mfano mwingine ni jinc jk alivyoingia madarakan akiitwa chaguo la mungu leo hii anasomeka kama bonge la fisad.