Tundu Lissu ataja wabunge wanaotuhumiwa kwa rushwa, Zitto si mmojawapo

kuna mahali nimeeleza lakini naona wengi hawaki kukubaliana na ukweli ulivyo...
 
NIWAAMBIE WANABODI!
ni kuwa ccm imetegwa na Lisu, nayo itaingia kichwa kichwa! Kutajwa majina ya wabunge wala rushwa na kukutikana ni ya wabunge wa ccm kunaifanya ccm ianze kujitetea kama chama kwa kuwatetea wabunge wake na hivyo kitajikuta kinajipaka matope zaidi. Subirini muone mziki.


NIWAJIBU WANABODI CCM haiwezi kukurupuka na kuingia mtego wa kijinga, nyie tajaneni umbuaneni mchecheto wa nini kuna kamati zinafanya kazi hata Mbunge Ismail A. Rage ameshatoa kimemo na ndugai ameki-Crash, malizaneni wenyewe lakini Xitto ameshaomba Urais msimpinge

Ndugai ametangaza Boxing werema V/s tundu Lissu
 
Mwana jf kwa kashaf hizi za rushwa bungen bado una imani nalo????? Likuteteee

Sina imani na Wabunge wa CHADEMA wala CCM, kuanzia kwenye kupitisha sheria ya mashirika ya Umma mpaka kwenye hili. kwa sasa namuamini Mungu tu
 
Nadhani CDM wamecheza mchezo mkali sana hapo. CDM iliwaacha wabunge wa CCM washabikie hoja wakidhani mmoja wa watuhumiwa ni Zitto, so wakaamua kuwatosa wala rushwa wa CCM ili mradi tu ZZK aumbuliwe. CCM walijisahau na hawakujua ZZK aliingia kwenye mining'ono kwa sababu ya kauli yake ya kutaka utaratibu ufuatwe kumsimamisha Mhando, na si kwa sababu ya kula rushwa. Baada ya ushabiki na kuonyesha nia ya kuwachukulia hatua, ndipo CDM imeibuka na kuweka hadharani majina, na CCM wamebaki njia panda kama waendelee na msimamo wao wa kuwachukulia hatua watuhumiwa au na wao wapotezee kwa kuwa target yao inaonekana ilikuwa na 'kosa jingine' tofauti na mawazo yao awali kuwa ni rushwa. Usishangae kuona wabunge wa CCM wakaanza kuikana hoja yao (ya Vita Kawawa) ya kutaka kikao cha kuwajadili!
 
Unataka amtaje Zitto kwa kuwa anahusika au unataka amtaje tu kwa vile unataka atajwe?????
 
Hii ndo naitaka. Inabidi kuwa na upinzani wenye nguvu. Hata CDM tukichukua nchi 2015, inabidi CCM wapate walau wabunge 50 na CUF 30 kusudi wawape changamoto CDM. Lissu atakuwa na ushaidi na hao jamaa aliyowataja. Hapa lazima kitaeleweka.
 
katika list ya wabunge waliokula rushwa jina la zitto halimo lakini azimio la kikao cha jana usiku na taarifa zilizokwenda kwa spika hiyo jana zinataka jina la zitto liwekwe na pia spika makinda alipewa maagizo ya nini cha kufanya kwenye kamati zinazotuhumiwa kwa rushwa...mpango wa jina la zitto kuwekwa katika orodha hiyo lina sababu mbili 1. ya kwanza kumuona katka nafasi ya mwenyekiti wa POAC na yapili ni kummaliza kisiasa yeye pamoja na chama chake....l

jana usiku kumekuwa na kikao kirefu tu na nilijaribu kudokeza humu kupitia thread hii hapa chini


Hafla ya kupongezana juu ya kilichotokea jana huko Dodoma imekwisha na sasa kinachoendelea ni kikao cha hatua ya pili ya kukabiliana na mvutano uliopo bungeni miongoni mwa wabunge wenyewe na kuhakikisha baadhi ya wabunge wanadhibitiwa na hawapewi nafasi kusema kile kitakachoonekana kutibua na kuharibu hatua iliyofikiwa(ushindi wa jana) . Maagizo maalumu yametumwa Dodoma kwa spika wa bunge juu ya hatua za kuchukua kwa wabunge walioko katika kamati zinazotuhumiwa kupokea rushwa .

PUMA energy ni kampuni inayomilikiwa na kiongozi mmoja aliyeko serikalini (si kiongozi mdogo) akishirikiana na wenzake 3 wenye hisa katika kampuni hiyo. na si kweli kwamba Serikali ina hisa asilimia 50!!!.

Nitaishia hapa leo na nitasubiri iwapo spika makinda atayatekeleza maagizo yaliyokwenda kwake...


mkiyumbishwa nanyi mkayumba basi mtayumba sana..
 
Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lisu amefanya conference mjini Dodoma leo mchana amewataja wabunge wafuatao kuwa ndio vinara wa rushwa kamati ya nishati na madini.
I.Munde Tambwe
2.Sara msafiri
3.Mwijage
4.Nasir mbunge wa korogwe

Cha kushangaza lisu ameshindwa kumtaja zito kabwe kwa sababu zisizofahamika,nimeamini jamaa sio objective,ikumbukwe katibu mkuu Maswi amtaje Zitto ,Lisu anaficha ukweli for which reason mwizi ni mwizi tu

Tundu Lisu angefanya la maana kama angemtaja na zito kuliko kuwataja wabunge wa CCM tu.

Zitto aliwauzia matairi yasiyo na kiwango lakini si Rusha ndio maana hakutajwa kwa wala rushwa yeye anatuhuma nyingine ya kuuza matairi ya kichina TANESCO,jamani tutofautishe tuhuma.
 
Kutaja watu ni mafisadi si jambo la mchezo linahitaji majasiri kama tundu lisu anasitahili kupewa hongera wana jamii.
 
Watu wengine bwana, wewe ushasema hauna imani na bunge sasa kwenye hili jukwaa la siasa unafuata nini.
Habari kwa wana Jf, ZITTO HAUSIKI,....
 
Z
 
Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lisu amefanya conference mjini Dodoma leo mchana amewataja wabunge wafuatao kuwa ndio vinara wa rushwa kamati ya nishati na madini.
I.Munde Tambwe
2.Sara msafiri
3.Mwijage
4.Nasir mbunge wa korogwe

Cha kushangaza lisu ameshindwa kumtaja zito kabwe kwa sababu zisizofahamika,nimeamini jamaa sio objective,ikumbukwe katibu mkuu Maswi amtaje Zitto ,Lisu anaficha ukweli for which reason mwizi ni mwizi tu

Tundu Lisu angefanya la maana kama angemtaja na zito kuliko kuwataja wabunge wa CCM tu.

Kama alishatajwa inatosha!
 
Zitto aliwauzia matairi yasiyo na kiwango lakini si Rusha ndio maana hakutajwa kwa wala rushwa yeye anatuhuma nyingine ya kuuza matairi ya kichina TANESCO,jamani tutofautishe tuhuma.
Alaaa! kumbe ni Zitto alowauzia Tanesco matairi yasiyokuwa na kiwango?...Hivi imetajwa wapi hii naomba link niisome..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom