Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
Huyo MUNDE TAMBWE kwa rushwa ni balaa,alikuwa cashier pale halmashauri tabora mjini,walitaf una pesa na mama mmoja mkurugenzi mpaka wakasimamishwa kazi.baadae walikuja wakajisafisha kwa rushwa ya pesa na ngono takukuru wakawasamee.shaidi ambae alikuwa atoe ushahid dhidi yao,alilambwa risasi siku moja kabla ya kupanda kizimbani.huyo ndie munde tamwe chezea toto la kinyamwezi weye.