Tundu Lissu ataja wabunge wanaotuhumiwa kwa rushwa, Zitto si mmojawapo

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lisu amefanya conference mjini Dodoma leo mchana amewataja wabunge wafuatao kuwa ndio vinara wa rushwa kamati ya nishati na madini.
I.Munde Tambwe
2.Sara msafiri
3.Mwijage
4.Nasir mbunge wa korogwe

Cha kushangaza lisu ameshindwa kumtaja zito kabwe kwa sababu zisizofahamika,nimeamini jamaa sio objective,ikumbukwe katibu mkuu Maswi amtaje Zitto ,Lisu anaficha ukweli for which reason mwizi ni mwizi tu

Tundu Lisu angefanya la maana kama angemtaja na zito kuliko kuwataja wabunge wa CCM tu.
 
Duh! Au ndo siasa za uraisi kama mwana kwetu Zitto anavyosema!!!
 
jamani kwani alipokuwa anachukua hiyo rushwa ulikuwa nae?
Zito amezikana hizo shutuma mara kibao nadhani kutotajwa kwake ina maanisha hahusiki
 
heeeeee,kwani lazima amtaje zitto hata kama hayumo??after all spika kiloboto ndiye alipaswa ataje.lakini zito kama yuomo atatajwa tu,na kama hayumo hatatajwa.
 
Sasa we amtaje mtu hata kama hana ushahidi.? Tumia basi akili na hata kama ni kweli hatupendezwi na mienendo ya Zitto lakini evidence na facts ni muhimu ktk kutaja majina ya watu order kuondoa disputes.
 
Mbunge wa singida mashariki tundu lisu amefanya conference mjini dodoma leo mchana amewataja wabunge wafuatao kuwa ndio vinara wa rushwa kamati ya nishati na madini.
I.Munde Tambwe
2.Sara msafiri
3.Mwijage
4.Nasir mbunge wa korogwe

Cha kushangaza lisu ameshindwa kumtaja zito kabwe kwa sababu zisizofahamika,nimeamini jamaa sio objective,ikumbukwe katibu mkuu Maswi amtaje zito ,lisu anaficha ukweli for which reason mwizi ni mwizi tu

Tundu lisu angefanya la maana kama angemtaja na zito kuliko kuwataja wabunge wa CCM tu.

Sasa kama Maswi alishamtaja Zitto, ulitaka Lissu amtaje tena wa nini?
Iko wazi tu kwamba, Lissu amewataja wale ambao hawakutajwa na Maswi!
Hata huko kuwataja tu hao sio jambo dogo, na tunapaswa kumpongeza Lissu kwa hatua hiyo sio kuleta porojo zisizo na mashiko kwenye jukwaa....
Tuambie kuna Mbunge gani mwingine aliyewahi kuwataja Wabunge wala rushwa, ukiondoa Kafulila alipowataja akina Zambi?
Hongera sana Lissu kwa hatua hiyo, tunaamini Wabunge wengine wenye ujasiri kama wewe watafuatia!
 
zito kama yumo angetajwa ana kama yumo but anafichwa itajulikana tu let just be wavumilivu...hii ni list ya Lissu tusubiri ya ccm yawezekana bw zitto yumo
 
wadau wa jf,
tusubiri kamati ya maadili ya bunge then tutajua ni akina nani. kila mtu atasema lake sasa. kamati isipowataja after one week, mbatia katamka atawataja live. lets wait.
 
  • Thanks
Reactions: ste
Sasa kama Maswi alishamtaja Zitto, ulitaka Lissu amtaje tena wa nini?
Iko wazi tu kwamba, Lissu amewataja wale ambao hawakutajwa na Maswi!
Hata huko kuwataja tu hao sio jambo dogo, na tunapaswa kumpongeza Lissu kwa hatua hiyo sio kuleta porojo zisizo na mashiko kwenye jukwaa....
Tuambie kuna Mbunge gani mwingine aliyewahi kuwataja Wabunge wala rushwa, ukiondoa Kafulila alipowataja akina Zambi?
Hongera sana Lissu kwa hatua hiyo, tunaamini Wabunge wengine watafuata!

ZITTO alimtaja karamagi.
 
Nafikiri ukimtaja mtu inatakiwa ushahidi uwepo ready handed, so may be alowataja ana ushahidi wao, so km Maswi ana ushahidi wa Zito mwambie afunguke
 
Mbunge wa singida mashariki tundu lisu amefanya conference mjini dodoma leo mchana amewataja wabunge wafuatao kuwa ndio vinara wa rushwa kamati ya nishati na madini.
I.Munde Tambwe
2.Sara msafiri
3.Mwijage
4.Nasir mbunge wa korogwe

Cha kushangaza lisu ameshindwa kumtaja zito kabwe kwa sababu zisizofahamika,nimeamini jamaa sio objective,ikumbukwe katibu mkuu Maswi amtaje zito ,lisu anaficha ukweli for which reason mwizi ni mwizi tu

Tundu lisu angefanya la maana kama angemtaja na zito kuliko kuwataja wabunge wa CCM tu.

Wewe jamaa unachekesha sana sasa unataka kulazimisha kwa mapenzi yako ZZK atajwe wakati hayumo...kama wewe una ushahidi taja JF sio sehemu ya porojo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom