Sisi wachimba wadogo wa madini ujenzi hapa babati tunaiomba serikali yetu itusaidie kusimamia taratibu na sheria za uchimbaji madini ya mwaka 2010.
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wachimbaji haramu hasa katika vijijji vya msware, Riroda, Nakwa na Endanachan.
Uchimbaji huu haramu umetuathiri sisi wenye leseni kwa kiwango kikubwa sana na kuikosesha serikali mapato na mrabaha, tunaiomba serikali itimize wajibu wake ikiwa ni pamoja na kusimamia sheria zilizopo.
Sisi wachimba wadogo wa madini ujenzi hapa babati tunaiomba serikali yetu itusaidie kusimamia taratibu na sheria za uchimbaji madini ya mwaka 2010.
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wachimbaji haramu hasa katika vijijji vya msware, Riroda, Nakwa na Endanachan.
Uchimbaji huu haramu umetuathiri sisi wenye leseni kwa kiwango kikubwa sana na kuikosesha serikali mapato na mrabaha, tunaiomba serikali itimize wajibu wake ikiwa ni pamoja na kusimamia sheria zilizopo.