Weee upo nchi gani? Usikii mkuu mwenyewe anawaruhusu wachimbaji wadogo kuvamia maeneo ya wawekezaji kama wewe kwa kisingizio cha 'wengi wape' kwa sasa ni mwendo wa bora liende tuu hakuna cha sheria ya madini ya 2010 wala niniTmaa jamani mpo wapi kudhibiti uchimbaji usiofuata taratibu?
Weee upo nchi gani? Usikii mkuu mwenyewe anawaruhusu wachimbaji wadogo kuvamia maeneo ya wawekezaji kama wewe kwa kisingizio cha 'wengi wape' kwa sasa ni mwendo wa bora liende tuu hakuna cha sheria ya madini ya 2010 wala nini
NonsenseWewe siyo haramu?
watu wanatafuta riziki mnawaita haramu.
wewe si una mtaji mkubwa Hadi unamiliki leseni, tafuta shughuli nyingine ufanye, waache hao haramu wajitafutie riziki.