Tunaomba serikali itusaidie wachimbaji wadogo

Triple A

JF-Expert Member
Sep 4, 2011
766
147
Sisi wachimba wadogo wa madini ujenzi hapa babati tunaiomba serikali yetu itusaidie kusimamia taratibu na sheria za uchimbaji madini ya mwaka 2010.

Kumekuwa na ongezeko kubwa la wachimbaji haramu hasa katika vijijji vya msware, Riroda, Nakwa na Endanachan.

Uchimbaji huu haramu umetuathiri sisi wenye leseni kwa kiwango kikubwa sana na kuikosesha serikali mapato na mrabaha, tunaiomba serikali itimize wajibu wake ikiwa ni pamoja na kusimamia sheria zilizopo.


Mapato mengi sana yanapotea hapa babati kwa ajili ya usimamizi mbovu wa viongozi wa serikali,mchanga unabebwa bure bila kulipiwa mrahaba huku viongozi wapo tu wanaangalia,sisi wenye maeneo yenye leseni tulishapeleka malalamiko yetu kwa mkuu wa wilaya aliyestaafu Raymond mushi lakini hajatusaidia chochote zaidi yakuongeza mgogoro,tunaomba viongozi mliangalie hili kwani sisi wachimbaji wadogo wa madini ujenzi hapa babati hatufaidiki na leseni zetu na vitalu tunavyo miliki kisheria kwani wenye magari wamekuwa wakibeba madini hayo ya ujenzi bila kulipia chochote.
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
 
wakaguzi wa madini ofisi zao zipo Arusha,hapa babati hakuna anayeshughulika na maswala ya madini
 
Trunataka ost: 18908285 said:
wakaguzi wa madini ofisi zao zipo Arusha,hapa babati hakuna anayeshughulika na maswala ya madini
Basi mkuu mnatakiwa muwajulishe ili waje waone ni namna gani watalimaliza tatizo lenu pamoja na mkurugenzi wa wilaya husika.
 
Basi mkuu mnatakiwa muwajulishe ili waje waone ni namna gani watalimaliza tatizo lenu pamoja na mkurugenzi wa wilaya husika.
malalamiko yetu tulishayafikisha wizara husika ila utekelezaji wake ndo tatizo
 
Sisi wachimba wadogo wa madini ujenzi hapa babati tunaiomba serikali yetu itusaidie kusimamia taratibu na sheria za uchimbaji madini ya mwaka 2010.

Kumekuwa na ongezeko kubwa la wachimbaji haramu hasa katika vijijji vya msware, Riroda, Nakwa na Endanachan.

Uchimbaji huu haramu umetuathiri sisi wenye leseni kwa kiwango kikubwa sana na kuikosesha serikali mapato na mrabaha, tunaiomba serikali itimize wajibu wake ikiwa ni pamoja na kusimamia sheria zilizopo.
Wewe siyo haramu?
watu wanatafuta riziki mnawaita haramu.
wewe si una mtaji mkubwa Hadi unamiliki leseni, tafuta shughuli nyingine ufanye, waache hao haramu wajitafutie riziki.
 
Wewe siyo haramu?
watu wanatafuta riziki mnawaita haramu.
wewe si una mtaji mkubwa Hadi unamiliki leseni, tafuta shughuli nyingine ufanye, waache hao haramu wajitafutie riziki.
Wewe siyo haramu?
watu wanatafuta riziki mnawaita haramu.
wewe si una mtaji mkubwa Hadi unamiliki leseni, tafuta shughuli nyingine ufanye, waache hao haramu wajitafutie riziki.

huu ndo uelewa wako na akili yako ndo mwisho wa kufikiri,kila jambo lina taratibu zake,sijui ingekuwa vp kila mtu angejifanyia kazi zake bila kufuata taratibu za nchi.
Labda pengine sheria ya madini ipo kwa ajili ya nchi jirani lakini sisi watanzania haituhusu kwa akili yako.
 
kama mtu huelewe madini ni nini na sheria zake zinasemaje tafadhali sana usituharibie hali ya hewa hapa.
 
Pole, Mimi naomba kuuliza tu, kuna uwezekano wa kupata eneo ambalo linawachimbaji.?
 
[QUOTkaribu ple A, post: 18908790, member: 53573"]malalamiko yetu tulishayafikisha wizara husika ila utekelezaji wake ndo tatizo[/QUOTE]
Mkuu jaribu tena kuwatafuta TMAA hapo Arusha wanatoa Huduma nzuri nadhani watalimaliza hilo, hata sisi wamewahi kutusaidia
 
[QUOTkaribu ple A, post: 18908790, member: 53573"]malalamiko yetu tulishayafikisha wizara husika ila utekelezaji wake ndo tatizo
Mkuu jaribu tena kuwatafuta TMAA hapo Arusha wanatoa Huduma nzuri nadhani watalimaliza hilo, hata sisi wamewahi kutusaidia[/QUOTE]

poa poa kiongozi
 
Fursa zilizopo za madini ya ujenzi hapa babati ni mchanga, morom pamoja na mawe.
 
Back
Top Bottom