peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,461
Leo ninatuma namba ya gari nikijiamini kuwa gari hiyo inamilikiwa na Tume ya madini.
Huko gari liliko Kila siku linatumika kukusanya rushwa na kusumbua wachimbaji wadogo.
Gari Hilo linafanya ukusanyaji wa rushwa usiku na mchana, siku za kazi na siku za sikukuu.
Bosi wa Tume ya madini Chunya pokea ujumbe huu na utambue kuwa hustahili kufanya na kusimamia watanzania wanachofanyiwa.
Kila siku ni kufunga karasha za wachimbaji wadogo Kwa kuweka ribbon nyekundu na bila kutoka 700,000 ribbon nyekundu haifunguliwi.
Kwa siku gari Hilo linazunguka kufunga makarasha zaidi ya 20 .
Tume ya madini tunaomba magari ya ukaguzi yatembee na dispatch book ili mtu akifungiwa karasha asainishwe na aelezwe sababu za kufungiwana faini ziwe wazi zijulikane.
Unyanyasaji ni mkubwa sana wilaya ya Chunya.
Gari hiyo litembeena vyombo vya ulinzi na usalama kwani Sasa linatembea na afisa wa Tume wawili kukusanya fedha za kupeleka kwao kwakuonea wachimbaji wadogo.
Kilio hiki kimfikie Katibu Mkuu wizara ya Madini.
Wachimbaji wanachimba madini kwenye maeneo yenye Leseni za utafiti huko Chunya na yametengwa Kwa ajili ya wachimbaji wadogo, ila hawataki kuondoa leseni ya utafitiili wachimbaji wawe huru kupewa leseni zao walizoomba kwenye maeneo ya utafiti japo serikali ilikwisha kubali, wao wanazunguka kukusanya rushwa TU.
Tunaomba waziri afuatilie jambo hili.
Huko gari liliko Kila siku linatumika kukusanya rushwa na kusumbua wachimbaji wadogo.
Gari Hilo linafanya ukusanyaji wa rushwa usiku na mchana, siku za kazi na siku za sikukuu.
Bosi wa Tume ya madini Chunya pokea ujumbe huu na utambue kuwa hustahili kufanya na kusimamia watanzania wanachofanyiwa.
Kila siku ni kufunga karasha za wachimbaji wadogo Kwa kuweka ribbon nyekundu na bila kutoka 700,000 ribbon nyekundu haifunguliwi.
Kwa siku gari Hilo linazunguka kufunga makarasha zaidi ya 20 .
Tume ya madini tunaomba magari ya ukaguzi yatembee na dispatch book ili mtu akifungiwa karasha asainishwe na aelezwe sababu za kufungiwana faini ziwe wazi zijulikane.
Unyanyasaji ni mkubwa sana wilaya ya Chunya.
Gari hiyo litembeena vyombo vya ulinzi na usalama kwani Sasa linatembea na afisa wa Tume wawili kukusanya fedha za kupeleka kwao kwakuonea wachimbaji wadogo.
Kilio hiki kimfikie Katibu Mkuu wizara ya Madini.
Wachimbaji wanachimba madini kwenye maeneo yenye Leseni za utafiti huko Chunya na yametengwa Kwa ajili ya wachimbaji wadogo, ila hawataki kuondoa leseni ya utafitiili wachimbaji wawe huru kupewa leseni zao walizoomba kwenye maeneo ya utafiti japo serikali ilikwisha kubali, wao wanazunguka kukusanya rushwa TU.
Tunaomba waziri afuatilie jambo hili.