wahuni kweli kweli mtu kakulia katika udisco jokker unategemea nini hapo,mademu na dada zao ndiyo wabunge viti maalumu hivi wana jf mnafahamu mbunge paresso wa karatu aliyeingia hivi karibuni nyumba ya baba yake ndiyo ilikuwa inatumiwa na dk slaa wakati wote wa ubunge wake ? hapo si kulipana fadhila ? kwa chama hicho tutegemee janga kubwa nchi hii