Tumuombee apone na kurudi salama nyumbani!

Anaumwa nini?au kaenda kubadilisha damu?sasa apone mapema ugonjwa gani?tunatakiwa tujue anaumwa nini ili tunaposali tunautaja na ugonjwa halafu huo ugonjwa unateketea kwa nguvu za MUNGU!
huwa hakuna kitu kama kubadilisha damu. hizi ni theory tu za vijuwe vya mtaani
 
Wakuu tusi-read too much out of nothing, kama ni kweli basi atakuwa amekwenda kwenye medical check-up ambayo ni kitu cha kawaida kwa viongozi wetu wa juu na wake zao, kwa mujibu wa katiba yetu,

basi sisi wananchi wa Tanzania tumuombee Mama yetu wa kwanza ili Mungu amnusuru na magonjwa na akutwe akiwa na afya njema, ili aweze kuendelea kumsaidia mumewe rais wetu wa jamhuri, katika maisha yao ya kawaida ya mume na mke, na pia kumsaidia kwa shughuli zake nzito za kuongoza taifa,

Mungu anasema kuwaombea sala viongozi wetu wa siasa na wake zao, ni acceptable kwake, maana ni yeye aliyewaweka kwenye power! Na results za uongozi wao ni where lile taifa stands with him, yaani God, kama ni taifa la wananchi wasiomjali Mungu basi atawapa viongozi mafirauni, and there is no butts about it!.

Mungu Amjalie Mama Yetu, na amrejeshe salama, Ahsante Sana Wakuu
 
Pamoja na kuwa namuombea apate afueni huko alikoenda lakini ningependa kujua hawa wakubwa lini wataanza kutibiwa nyumbani? Tutawezaje kuwa na imani na madaktari wetu kama wao wanaonyesha wazi kutowaamini?

Fundi Mchundo;

Unachekesha kweli, hebu ikijulikana anaumwa nini haujui kama itakuwa noma?
 
This is what we are best at......

Bora umesema...............................................!!!!!!

Anyway, tuwaombee na wagonjwa wengine ambao hawana hata nafasi ya kupata tiba bora nchini na hawana access na madawa kwa vile mafisadi wanawadhurumu haki zao usiku na mchana!!!!!
 
mama salma kikwete pole sana, kuna watu wanakuita mama wa kwanza mimi hapana, wewe ni mama wa kina ridhiwan na wengine, pengine wewe ni mama wa kwanza kwa akina rostam azizi na wengine wanaofaidi upole wa mumeo.

kuna jambo moja kubwa nalo, ni katika kuteseka ndiko hasa tunakuwa karibu zaidi na MUNGU, katika mataztizo na kuteseka kwako sasa hivi ebu fikiria

1. mateso kama hayo na maumivu ndo kawaida ya wataznania walio wengi tena wengine wanakosa hata panadol, wewe unafaidi kwa kuwa siyo kuwa mwerevu sana bali kwa kuwa Mungu alipenda uwe hivyo uwasaidie na wengine, sasa je katika maumivu unayopata umetafakari nini kuhusu dhuluma wanazofanyiwa watanzania kwenye utawala wa mumueo? je kwa nini kama abigaeli yule mwanamke maarufu kwenye biblia usimgeuze mumeo? aache usanii? aache woga? aache kukumbatia ,mafisadi?. kama huwezi kuiona hayo fikiria sasa huenda dhambi ya delila sasa ni dhahiri inaelekea upande wako. kwa uginjwa na maumivu unayopata ALIYE juu anakujaribu usipongamua tayari umechelewa
 
Anaumwa nini?au kaenda kubadilisha damu?sasa apone mapema ugonjwa gani?tunatakiwa tujue anaumwa nini ili tunaposali tunautaja na ugonjwa halafu huo ugonjwa unateketea kwa nguvu za MUNGU!

Tuheshimu privacy ya mtu hasa kwenye ugonjwa.Sidhani sisi tungependa kuanikwa wazi magonjwa yetu hapa...na kama sisi wenyewe hatupendi kufanyiwa hivyo, basi tusiwafanyie wengine.
Mama wa kwanza ana haki kutunziwa siri ya ugonjwa wake hata kama ni mafua tu jamani!
Iwapo tunataka kumwombea ahueni ya haraka basi tumwombe mwenyezi Mungu mjua na mweza yote aelekeze uponyaji kwa huyu mama kwa kadri ya mapenzi yake.
 
Lasthope,
We need to know and is our right to question about the problem faced our first lady 'Mama Salma'. This is because of her status in our society as a first lady, there is no secrecy with sickness. How are we going to pray for her? we need to cast and mention the specific problem so that our almight God could hear our pray. God bless Mama Salma.
1.Our God is an Almighty one... no need to mention the name of the sickness if u r sincere and not insinuating anything.Just pray in faith for her speedy recovery.
2.Mama is entitled to confidentiality - no one should have a right to know of her sickness if she does not wish to make it public.Her status nothwithstanding.
 
huwa hakuna kitu kama kubadilisha damu. hizi ni theory tu za vijuwe vya mtaani

Tell them! So unscientific.
Utabadili damu halafu pia utabadili na cells an kila kitu kwenye mwili?
Watu wanadhani mwili wa mwanadamu ni kama machine au engine ya gari kwamba utamwaga oil na kusafisha kila kitu na kuweka ingine.
Tujieleimishe kabla y aku speculate vitu.Utashangaa hata wasomi na madigirii yao wanaongea mambo ya kubadilisha damu!
Hivi hii theory ya kijiweni inatokana na nini hasa??
 
nachukia, kisha inakera ,kuskia mkubwa au mkewe anaumwa na anaelekea nje ya nchi kwa matibabu. ukiread between the lines ni sawa na kusema kwamba hii muhimbili na mnazi mmoja na hospitali nyengine za tanzania zipo majengo tu na hazifikii kiwango cha kutibu binadamu. kwanini viongozi wetu wakose uadilifu kiasi hiki?. naisubiri siku ambayo nitamuona rais wa tanzania kalazwa muhimbili. mungu amjaalie apone lakini sijui kama anadeserve hiyo kuombewa, only god knows!
 
First lady, taratibu hata kama kaenda kubadilisha damu whats the big deal? halafu you dont have any right ya kujua anaumwa nini, ugonjwa ni private matter ya mgonjwa na daktari na ikibi sana basi familia. sas wewe unataka kujua ili iweje? we muombee tu apone


Excuse you me! as long as she is using TAX PAYERS MONEY we have a legitimate right to know anaumwa nini, anatibiwa wapi, atapona lini nk. Period. wewe na mimi ugonjwa ni siri zetu na madaktari kwa sababu inawezekana hatutumii hela ya mlipa kodi. Hizi theory zenu za secrecy ndo zimetufikisha hapa, watu wanakula kodi zetu harafu wanatusimanga eti haituhusu.. Ukishakuwa public figure inabidi ukubali scrutiny ya private life yako pronto. privelege inaendana na responsibility. Yaani watu tugharimie huduma na msafara wa mama huko ughaibuni, harafu tuambiwe eti ni siri? This is beyond my comprehension....
 
Anaumwa nini?au kaenda kubadilisha damu?sasa apone mapema ugonjwa gani?tunatakiwa tujue anaumwa nini ili tunaposali tunautaja na ugonjwa halafu huo ugonjwa unateketea kwa nguvu za MUNGU!
:eek::eek::eek: bado nashindwa kuelewa unamaanisha nini? umeuliza masuala matatu ambayo katika yote linaloingia akilini ni moja tu, hili la anaumwa nini? wanasema ukitaka kujua werevu wa mtu subiri afungue mdomo wake! First Lady kwa mila na desturi zetu Watanzania ni kuombeana dua mgonjwa yoyote yule apone haraka sasa wewe unauliza apone mapema ugonjwa gani? hii haijatulia kabisaa!!!
 
Namuombea mke wa Rais mama Salma Kikwete ambaye yuko nje ya nchi (jina na hospitali vimehifadhiwa hadi serikali wakiamua kuwaambia!) kwa matibabu apone hima na kurudi nyumbani salama. Tunakutakia kila la kheri chini ya mikono ya madaktari ili Mnyezi Mungu akupe uzima na afya ya mwili.

M. M.

Mzee wa kijiji nakuaminia. Ila duh! Mbona siri hivyo?

Kama alivyosema Masanja kwamba walipa kodi tuna haki ya kujua kinachomsibu mke wa rais.

Pole Mrs Salma Kikwete.
 
:eek::eek::eek: bado nashindwa kuelewa unamaanisha nini? umeuliza masuala matatu ambayo katika yote linaloingia akilini ni moja tu, hili la anaumwa nini? wanasema ukitaka kujua werevu wa mtu subiri afungue mdomo wake! First Lady kwa mila na desturi zetu Watanzania ni kuombeana dua mgonjwa yoyote yule apone haraka sasa wewe unauliza apone mapema ugonjwa gani? hii haijatulia
kabisaa!!!

Ni muhimu kujua kiongozi wetu anasumbuliwa na nini?huyo ni public figure jamani!sasa kwanza habari zenyewe zimefichwa ina maana hakuna mgonjwa hapo!sasa aombewe kwa ugonjwa upi?
 
Excuse you me! as long as she is using TAX PAYERS MONEY we have a legitimate right to know anaumwa nini, anatibiwa wapi, atapona lini nk. Period. wewe na mimi ugonjwa ni siri zetu na madaktari kwa sababu inawezekana hatutumii hela ya mlipa kodi. Hizi theory zenu za secrecy ndo zimetufikisha hapa, watu wanakula kodi zetu harafu wanatusimanga eti haituhusu.. Ukishakuwa public figure inabidi ukubali scrutiny ya private life yako pronto. privelege inaendana na responsibility. Yaani watu tugharimie huduma na msafara wa mama huko ughaibuni, harafu tuambiwe eti ni siri? This is beyond my comprehension....


Comrade, You have said it all!! Kama angetaka ugonjwa wake uwe siri yake na mumewe na familia yao wangebaki Bagamoyo. As long as wanakula kutokana na kodi ninayokatwa, lazima wakubali scrutiny ya umma. Nakandamizia, huu UNAFIKI wetu wa Secrecy ya mtu ndio unatufikisha hapa tulipo pa kuishia kulalama tu wakati watu wameishachota!! Secrecy, my a**!!!
 
Tell them! So unscientific.
Utabadili damu halafu pia utabadili na cells an kila kitu kwenye mwili?
Watu wanadhani mwili wa mwanadamu ni kama machine au engine ya gari kwamba utamwaga oil na kusafisha kila kitu na kuweka ingine.
Tujieleimishe kabla y aku speculate vitu.Utashangaa hata wasomi na madigirii yao wanaongea mambo ya kubadilisha damu!
Hivi hii theory ya kijiweni inatokana na nini hasa??

Ndivyo tulivyo bwana ...
 
Kwa nini sisi Watanzania ni wepesi wa dhana (guess-work) ? Hebu na tujenge mazowea ya kabla ya kutoa maoni tufikiri kile tunachoongea ama kuandika, tukusanye facts na reasoning ya yale tunayotaka kutamka, 'We should engage our brains more before speaking/criticizing'
 
Back
Top Bottom