hii kitu ya kubadilisha damu ipo, lakini nisingependa kuingia kwa undani zaidi. Lakini nafahamu watanzania ambao wanafanyiwa hii kitu.
Jmk ana safari nyingine ya us kama salmb atakuwa hajapata nafuu ya kutosha anaweza kumpandisha 'cheo' mmoja wa mafirst ladies watatu waliobaki ili aende naye us.
ha ha haaaaaaaaaaaa hii ni kali