Ya magono mlongo vangucocastic
Kwa sababu, anajua kuzungumza, anajua propaganda na figisu za siasa, ni muadilifu na ana hekima.
Hivi hapa Tanzania kuna mtu asiyeweza kufit kuwa mkuu wa Mkoa?Huyo mjita sijui mkerewe ana kujisikia sana, ana u-yego Jaji, Yego Masika, chikaka, hafai, halafu akipata changamoto ndio unajua hana akili kabisa ukiacha vile vi akili vya kusoma vitabu vya motivation. Fuatilia alipokuwa mkuu wa mkoa wa dodoma, haku-fit kabisa
imekuwaje hadi akatundikwa hivyo🤣🤣🤣🤣🤣
Hapana Dodoma alifist sanaHuyo mjita sijui mkerewe ana kujisikia sana, ana u-yego Jaji, Yego Masika, chikaka, hafai, halafu akipata changamoto ndio unajua hana akili kabisa ukiacha vile vi akili vya kusoma vitabu vya motivation. Fuatilia alipokuwa mkuu wa mkoa wa dodoma, haku-fit kabisa
Kipi kinachokuchekesha mtoto wa kikeimekuwaje hadi akatundikwa hivyo🤣🤣🤣🤣🤣
mungu wenu wahuni wamemtundika nahakuweza kufanya lolote🤣ukiristo niujinga brooKipi kinachokuchekesha mtoto wa kike
Ujinga ni kuingilia Imani ya mtu Baniani wanaabudu n'gombe na hawana shida na mtu ndio Imani Yaomungu wenu wahuni wamemtundika nahakuweza kufanya lolote🤣ukiristo niujinga broo
Ongezea na ManaraNasema CCM inahitaji watu kama Steve Nyerere, Baba Levo ingawa sijui kama ana kadi ya CCM, Mwijaku, au Doto Magari1
Hyo hata ujumbe wa nyumba kumi haumfai,,Lucas mwashambwa anatosha
Wew atakupidiy mbowe chama kitaangukacocastic
Kwa sababu, anajua kuzungumza, anajua propaganda na figisu za siasa, ni muadilifu na ana hekima.