sekindunda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 335
- 231
Hapo ndo uwezo wako wa kufikiri ulikokufikisha. Hv hapo kwenu ubasha manake ni nini?Asante tajiri wa fikra, atakuwa basha wako ndiyo maana unamtetea, idiot!
Hapo ndo uwezo wako wa kufikiri ulikokufikisha. Hv hapo kwenu ubasha manake ni nini?Asante tajiri wa fikra, atakuwa basha wako ndiyo maana unamtetea, idiot!
Mkuu una wadhifa gani katika chama chetu CCM?Upigani kura unafanyika kwa kutumia internet
Hahahahahahahaha.......Haya mambo kwanini msiyadiscuss hapo ofisini Lumumba kesho asubuhi?
Wew kibaraka wa ccm mim sina mdaa mchafuu huoNdugu zangu Watanzania na wana Afrika wote wenye mapenzi mema na nchi yetu inayoongozwa na Dk John Pombe Magufuli.
**Ili kuepusha kuharibu kura zingatia yafuatayo unapojiandaa kumpigia kura Rais Dk John Pombe Magufuli awe kiongozi bora wa Afrika 2017**
1.Tumia browser moja tu kupiga kura moja tu.
2.Waweza piga kura moja tu kwa kila browser moja kwa kutumia simu moja.
3. Aina za browser ni kama vile chrome, opera mini na fire fox n.k
4.Usirudie kupiga kura kwa kutumia browser moja unapoteza muda wako na pia kuharibu kura yako.
Endelea kupiga kura
Endelea kumfahamisha mwenzako
Endelea kumuhimiza mwenzako apige kura
Endelea kuwa Mzalendo
Endelea kumuombea Rais wetu.
Mungu ibariki Tanzania.