Tumpigie Rais Magufuli kura ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017

Status
Not open for further replies.
Kodi unalipa lakini au tutume vijana wakahakiki?

Njoo hata wewe kuhakiki. Siku zote nimekuwa naenda mwenyewe. Hawajawahi kuja hata siku moja. Ya mwisho nimelipa sh 30m baada ya hesabu zangu kuonesha ndicho nilichostahili kulipa.

Always it is more profitable to work within the legal boundaries than outside.
 
Njoo hata wewe kuhakiki. Siku zote nimekuwa naenda mwenyewe. Hawajawahi kuja hata siku moja.
Nakupongeza kwa huo Uzalendo. Mpigie kura Mhe Rais, Dunia inatambua na Africa inatambua kwamba yeye ndiye kiongozi anayestahili kuigwa kwa ulinzi wa Rasilimali za nchi. Kaingia madarakani ndani ya miaka miwili kaingia kwenye 6 Bora kati ya Maraisi 56 wa Africa. Vote for him acha mchama wako!
 
Kama ni hivyo yule kiongozi kitoka Nigeria angeongoza maana Nigeria ina watu zaidi ya Mara tatu ya watu wa Tanzania
Iko hivi, kama kuna watu Tanzania jpm hamumtaki jua hata uko Nigeria huyo jamaa hawamtak
 
Mbona hao waanzisha tuzo hawaji TZN kuja kupata taswira yake ndani ya nchi kabla ya kumpendekeza,kumuweka raised wa Ghana na Kenya kwenye kapu LA madikteta Wabash in danishes ni kuwashushia hadhi
Ulitaka waje pale ufipa ndo ujue huwa wanafanya uchunguz?Acha akili mgando.
 
Ebo! Kumbe bado hujaelewa? Wanaopiga kura ni global society; watu wenye uangavu wa global governance practices. Si underdog msiosoma majarida ya kimataifa kuelewa kinachoendelea duniani isipokuwa hadi muelekezwe na viongozi wenu waliowashikia akili ndio mnaweza kutenda. Ungekuwa na uelewa hata kidogo ungebaini namna na kiasi ambacho uongozi wa Rais Magufuli ulitikisa duania 2017 hususan kutokana na serikali yake ilivyobadilisha kabisa mining policy/regime ya Tanzania. Unadhani ni watu wa aina gani na wangapi walitikiswa na mtikisiko wa hisa za kampuni namba moja ya dhahabu duniani? Ondoka chini ya mwembe. Pandisha akili yako!
Mkuu uko vizuri kumwelimisha uyo karai,lkn cjui ka ataelewa maana hawa jamaa hivo vichwa ni vigumu sana kuelewa hata wakikarrshwa jambo na mbowe,lisu au kimambe.
 
Ndugu zangu Watanzania na wana Afrika wote wenye mapenzi mema na nchi yetu inayoongozwa na Dk John Pombe Magufuli.
**Ili kuepusha kuharibu kura zingatia yafuatayo unapojiandaa kumpigia kura Rais Dk John Pombe Magufuli awe kiongozi bora wa Afrika 2017**
1.Tumia browser moja tu kupiga kura moja tu.
2.Waweza piga kura moja tu kwa kila browser moja kwa kutumia simu moja.
3. Aina za browser ni kama vile chrome, opera mini na fire fox n.k
4.Usirudie kupiga kura kwa kutumia browser moja unapoteza muda wako na pia kuharibu kura yako.
Endelea kupiga kura
Endelea kumfahamisha mwenzako
Endelea kumuhimiza mwenzako apige kura
Endelea kuwa Mzalendo
Endelea kumuombea Rais wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom