Tumpigie Rais Magufuli kura ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017

Status
Not open for further replies.
Ndugu zangu Watanzania na wana Afrika wote wenye mapenzi mema na nchi yetu inayoongozwa na Dk John Pombe Magufuli.
*Ili kuepusha kuharibu kura zingatia yafuatayo unapojiandaa kumpigia kura Rais Dk John Pombe Magufuli awe kiongozi bora wa Afrika 2017.
1.Tumia browser moja tu kupiga kura moja tu.
2.Waweza piga kura MOJA kwa kila browser moja kwa kutumia simu moja.
3. Aina za browser ni kama vile chrome, opera mini fire fox n.k
4.Usirudie kupiga kura kwa kutumia browser moja unapiteza muda wako na pia kuharibu kura yako.
Endelea kupiga kura
Endelea kumuombea Rais wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
we ndo mbuzi wake wa kafara nini?
 
Ndugu zangu Watanzania na wana Afrika wote wenye mapenzi mema na nchi yetu inayoongozwa na Dk John Pombe Magufuli.
*Ili kuepusha kuharibu kura zingatia yafuatayo unapojiandaa kumpigia kura Rais Dk John Pombe Magufuli awe kiongozi bora wa Afrika 2017.
1.Tumia browser moja tu kupiga kura moja tu.
2.Waweza piga kura MOJA kwa kila browser moja kwa kutumia simu moja.
3. Aina za browser ni kama vile chrome, opera mini fire fox n.k
4.Usirudie kupiga kura kwa kutumia browser moja unapiteza muda wako na pia kuharibu kura yako.
Endelea kupiga kura
Endelea kumuombea Rais wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
kama kungekuwa na nafasi ya kupiga kura ya Noooooooooooo, hakika Mungu ananiona, ningepiga.
 
Ndugu zangu Watanzania na wana Afrika wote wenye mapenzi mema na nchi yetu inayoongozwa na Dk John Pombe Magufuli.
*Zingatia yafuatayo unapojiandaa kumpigia kura Rais Dk John Pombe Magufuli awe kiongozi bora Afrika 2017 ili kuepusha kuharibu kura.
1. Tumia BROWSER MOJA TU KUPIGA kura MOJA TU.
2. Waweza piga kura MOJA kwa KILA BROWSER MOJA kwa kutumia simu MOJA.
3. Aina za BROWSER ni kama vile chrome, opera mini fire fox n.kk
Endelea kupiga kura
Endelea kumuombeaRais wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Hata kwa bahati mbaya siwezi kumpigia kura itakua ni unafiki
 
Nimempigia kura Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017 kama Mwafrika Bora wa 2017. Ni imani yangu kwamba Tanzania tumepata kiongozi bora aliyeelekeza juhudi zake katika kutunganisha waTanzania na kuweka misingi imara ya kuijenga taifa letu; kudumisha uhuru na amani na kuweka itikadi na sera za kukabili ujinga, umaskini na maradhi, kwa hayo machache, Raisi wetu anastahili kabisa TUZO ya HESHIMA ya kuwa Mwafrika Bora wa 2017.

Pia nimempigia kura Mhe. Uhuru Kenyatta, Raisi wa Jamhuri ya Kenya ili apate tuzo kwenye kitengo cha uongozi bora wa kisiasa. Naamini Mhe. Kenyatta ana sifa zote za kunyakua tuzo hii inayolenga kuimarisha demokrasia kwani katika uongozi wake amepigania kwa kiasi kikubwa ameonesha kwamba siyo mchokozi, ni mtulivu na anapenda sana kuheshimu haki za watu na makubaliano yaliyopo. Uhuru ni mfano halisi wa kiongozi mwenye mamlaka na ambaye bado anaamini wako watu wana haki kushinda hata mamlaka yake.

Katika tuzo ya Kiongozi Bora Mwanamke wa 2017, Nimemchagua Susan Mashibe (mTanzania), Huyu ni rubani na mhandisi wa masuala ya ndege, Pia ni Mkurugenzi mtendaji wa kampuni mbili zinazojishughulisha na masuala ya anga. Na kama haujui ndiye mwanamke pekee mwenye cheti cha urubani cha FAA na mhandisi matengenezo ya ndege.

Na Mwisho nikamchagua Fahad Awadh (mTanzania) ambaye ni Mjasiriamali kijana na Mwasisi wa YYTZ Agro-proccessing, Kampuni ya kuchakata korosho iliyopo Zanzibar, ili awe Kijana Bora wa 2017.

Ni muda wako sasa wa kuchagua, Tembelea http://africanleadership.co.uk/6-presidents-business-leade…/ ili uwapigie kura wale unaoamini wamechangia katika ubunifu wa sera zilizosaidia kukabiliana na tatizo sugu la uhaba wa ajira, kukuza demokrasia na kuletea sifa bara la Afrika ughaibuni, na bila shaka ewe mTanzania mwenzangu hautamsahau Raisi wetu mpendwa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika tuzo ya Mwafrika Bora wa 2017.

Tanzania Kwanza,

Na Hamis Nassoro
30 Desemba 2017
Nimempigia Rais wetu kafanya mambo makubwa saana isipokuwa tu nabii hakubalili kwao, wanasifiwa wasiofanya chochote anaachwa aliyefanya makubwa, miye nitahakikisha anaibuka mshindi Magufuli oyeeeeeeeeeeee
 
Ndugu zangu Watanzania na wana Afrika wote wenye mapenzi mema na nchi yetu inayoongozwa na Dk John Pombe Magufuli.
**Ili kuepusha kuharibu kura zingatia yafuatayo unapojiandaa kumpigia kura Rais Dk John Pombe Magufuli awe kiongozi bora wa Afrika 2017**
1.Tumia browser moja tu kupiga kura moja tu.
2.Waweza piga kura moja tu kwa kila browser moja kwa kutumia simu moja.
3. Aina za browser ni kama vile chrome, opera mini na fire fox n.k
4.Usirudie kupiga kura kwa kutumia browser moja unapoteza muda wako na pia kuharibu kura yako.
Endelea kupiga kura
Endelea kumfahamisha mwenzako
Endelea kumuhimiza mwenzako apige kura
Endelea kuwa Mzalendo
Endelea kumuombea Rais wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
nzuri hiyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom