Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
wazee acheni malumbano tupeni stori za mateja ..au nyie ndio mateja wenyewe ..manake siwaelewi elewi mlumbano hayana miguu ...(jukaa la utani hili lakini)
achana na mm bana
hahah kweli kijiwe cha mateja...kwa hio jamaa kaingiliwa? hahahKulikuwa hakuna haja ya kutokwa na povu, kwa akili yako ya ki wakusoma unadhani alipaswa apost kitu gani hapa, akili yako ndogo sana na hiyo 'kusoma' unayojisififia nadhani ni aina nyingine ya kuadhimisha na kusifia upumbavu, kama huna story za mateja acha kuchangia na sio kushoboka kama unaingiliwa kinyume na matakwa yako :focus:
NINE, yule dogo alikuletea ule mzigo au ndo umepotezea?
tutakupiga mande jf nzima we dogo,naona likizo inakuendea vibaya
wazee acheni malumbano tupeni stori za mateja ..au nyie ndio mateja wenyewe ..manake siwaelewi elewi mlumbano hayana miguu ...(jukaa la utani hili lakini)
Sida yako nini we bambanza?
naona story ya mateja inaendelea sie kwetu burudani, mlipaniana sasa mmekutana wote dakika tano mbeleIla we wakusoma jipange, usijifanye umesoma wakati unadegree moja halafu gpa yenyewe ya 1.9 halafu unajifanya na ww msomi. Acha hzo ww
nyie wote mnao rumbana ni mateja. mnajifanya mumesoma kumbe nyote machoko tu na ni mafisadi wa elimu. kitu gani kimekufanya uruke darasa la nane kama wewe sio choko na fisadi wa elimu?.
wenzako tulimaliza la saba tukaenda la nane. lakini nyinyi machoko mumemaliza la saba mkaenda la tisa halafu nakuja kuchafuana hapa jf. Mukiendeleza nawapiga ban wote. mnajua mimi ni nani? Vione. nadhani nimewapaka vya kutosha kwahelini. nawaachia jukwaa lenu. endeleeni kuchambana. over
Haya endeleeni na jukwaa lenu naenda zangu tuition, nitarudi jioni.
. Sasa jamani hapa c tupo kwenye jokes? Kwani kuna ubaya gani! Ww unataka kila wakati watu wawe serious? Raha mtu hujpa mwenywe babuuu........Endelea wewe mwenyewe teja mwenzao, yaani unaamka asbh yote hii na mke na mtoto wako au ndg zako wanakuona uko kwenye pc au bb wanajua unafanya kitu cha maana kumbe unaandika upupu kama huu. Sasa mtu kama wewe unastahiki kunywa chai leo?
Kwenda zako ww........
Teh teh teh, laha tupuuuuuuu........nawe pia ni choko, kwa nini umechangia hii thread kama sio choko? Kwenda zako huko choko mkubwa wee!
sijapenda comment yako kaka. Kwako yaweza kuwa upupu but kwa wengine furaha.We are here to enjoy smile, that why wameweka kipart hiki ili watu wafurahi either baada kupitia part nyingine kwangu mie nisipopitia hapa siku yangu haiwi nzuri kdg coz kuna vi2 namiss.Endelea wewe mwenyewe teja mwenzao, yaani unaamka asbh yote hii na mke na mtoto wako au ndg zako wanakuona uko kwenye pc au bb wanajua unafanya kitu cha maana kumbe unaandika upupu kama huu. Sasa mtu kama wewe unastahiki kunywa chai leo?