Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
Teja1. (hapa yuko kariokoo anamuuliza mwenzie walipo) E-mwanae tuko wapi hapa kichaa?
Teja2. Tuko Jamaica hapa kwenye arobaini ya Bob.
Teja1. Sasa mbona naona msitu mnene tu kachaa!
Teja2. Ndo nyumbani kwake tudumbukie chaka lolote mkuu.
Endelea kama unajua story za teja za kusisimua................
Teja2. Tuko Jamaica hapa kwenye arobaini ya Bob.
Teja1. Sasa mbona naona msitu mnene tu kachaa!
Teja2. Ndo nyumbani kwake tudumbukie chaka lolote mkuu.
Endelea kama unajua story za teja za kusisimua................