Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
yaaani hako ka degree kamaoja unakosomea hapo chuo cha kata ndio kanakupa jeuri? We kweli mbugilautine
hako kadegree kamoja unakoooooooo?
yaaani hako ka degree kamaoja unakosomea hapo chuo cha kata ndio kanakupa jeuri? We kweli mbugilautine
hawa jamaa ni washamba sana wameniharibia siku yangu mapemaaaa mimi hli ndio jukwaa langu la kucheka sasa hawa jameingia jukwaa sio lao. Pelekeni siasa zenu huko mbali hapa jukwaa la utani na huu uzi hapa ndo mahala pake sasa mnataka aandike nn. AaaagriiiYani bora hata wewe umwambie labda atasikia, hili jukwaa la utani @ wa kusoma! mbona unakuwa mshamba sana ndugu? sijui jike au dume? hata hujasoma jukwaa unakimbilia kuonesha ujinga wako, watu kama wewe wapo wengi sana wanaotaka kuonekana wanajua sana kumbe hawajui! yani wewe hujui kitu ila unalazimisha kujua. Hili jukwaa la utani si la siasa so post yangu ni ya utani. Peleka siasa zako kule kwenye jukwaa la siasa! mara ooh namfahamu nimwanike hapa.......aibu kweli! ngoja nijilalie mie.
yaaani hako ka degree kamaoja unakosomea hapo chuo cha kata ndio kanakupa jeuri? We kweli mbugilautine
hawa jamaa ni washamba sana wameniharibia siku yangu mapemaaaa mimi hli ndio jukwaa langu la kucheka sasa hawa jameingia jukwaa sio lao. Pelekeni siasa zenu huko mbali hapa jukwaa la utani na huu uzi hapa ndo mahala pake sasa mnataka aandike nn. Aaaagriii
hako kadegree kamoja unakoo?????????
mmmh! We dogo utani gani huo? Ok mkubwa potezea, leten udaku! Tupasuke mbavu.Bora ujilalie kweli, sasa hivi maana huna kazi ya kufanya. Mkuu usichukie huu nao ni moja ya utani lazima nikupe changamoto.
kwenda zako wewe, siku yako iliharibika tangu mapema ulipoamka ukamkuta anayekudai mlangoni kwako hata kabla ya kunawa uso ukamwambia mama akamwambie ati haupo, lkn ujue jamaa kakusikia sasa sijui kama leo utaenta kijiweni au vp.
hako kadegree kamoja unakoo?????????
ila we wakusoma jipange, usijifanye umesoma wakati unadegree moja halafu gpa yenyewe ya 1.9 halafu unajifanya na ww msomi. Acha hzo ww
hv hapa jf ndo unajiona we ndo una degree peke yako, we mbwiga kweli
mmmh! We dogo utani gani huo? Ok mkubwa potezea, leten udaku! Tupasuke mbavu.
Imekuwa taaaaabu. JF IMEVAMIWA JAMANI. Shule zimefungwa.[/Q
make arepot abuse
Endelea wewe mwenyewe teja mwenzao, yaani unaamka asbh yote hii na mke na mtoto wako au ndg zako wanakuona uko kwenye pc au bb wanajua unafanya kitu cha maana kumbe unaandika upupu kama huu. Sasa mtu kama wewe unastahiki kunywa chai leo?
Imekuwa taaaaabu. JF IMEVAMIWA JAMANI. Shule zimefungwa.[/Q
make arepot abuse
Kulikuwa hakuna haja ya kutokwa na povu, kwa akili yako ya ki wakusoma unadhani alipaswa apost kitu gani hapa, akili yako ndogo sana na hiyo 'kusoma' unayojisififia nadhani ni aina nyingine ya kuadhimisha na kusifia upumbavu, kama huna story za mateja acha kuchangia na sio kushoboka kama unaingiliwa kinyume na matakwa yako :focus:
sida yangu niendelee kufuatilia uzi huu uku nikifurahia sio malumbano ndugu.Sida yako nini we bambanza?
We ndo chizi na unaweza kuwa kubwa la mateja. Mosi, tupo kwenye jukwaa la jokes, so ulitaka aandakaje? Pili, unajuaje labda yeye kazi zake anafanya nyt kali. Tatu, JF haizuii mtu kupost anytime akihitaji.
Nalog OFF
Kulikuwa hakuna haja ya kutokwa na povu, kwa akili yako ya ki wakusoma unadhani alipaswa apost kitu gani hapa, akili yako ndogo sana na hiyo 'kusoma' unayojisififia nadhani ni aina nyingine ya kuadhimisha na kusifia upumbavu, kama huna story za mateja acha kuchangia na sio kushoboka kama unaingiliwa kinyume na matakwa yako :focus:
NINE, yule dogo alikuletea ule mzigo au ndo umepotezea?