Du! nakukubali mwana kijiji, michango yako inatutia uchungu sana. siku watanzania wengi watakapo pata mwamko kwa mawazo ya watu kama m/kijiji nchi hii itanuka damu!! wacha watutese tutalipa tu!!
Sasa kama tangu Machi hii habari inafahamika kwa nini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa? Kuna mtu mmoja aliyekata tamaa akasema,ni heri nchi iuzwe kila mtu agaiwe cha kwake ahamie anapokujua( ni wazo la kijinga na ni la waliokata tamaa lakini kwa jicho lingine inaonyesha ni jinsi gani watu walivyochoshwa).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.