Tukinunua tumerogwa!

...JK ndio mwanzo wa matatizo yote haya na hajui afanye nini kuondoa tatizo la umeme nchini,tusubiri amalize tuu kipindi chake kwa kura za watanzania wajinga wajinga then tuombe mungu labda wajinga wajinga watakuwa wamejifunza kitu!
 
Petu Hapa, mojawapo ya hotuba alizowahi kutoa Mkapa na binafsi niliikubali msingi wake ni ile ambayo naweza kuiita "Utanzania Wetu". Katika hotuba hii Mkapa alikuwa anazungumzia hicho kitu yaani "utanzania"; je katika ulimwengu wa leo "utanzania" una maana gani? Je tunaweza kusema kitu hiki ni cha "kitanzania" au kinyume na "utanzania" wetu?

Hoja yake ilikuwa tumepoteza hiyo shared value yetu iitwayo "Utanzania"...
 
Petu Hapa, mojawapo ya hotuba alizowahi kutoa Mkapa na binafsi niliikubali msingi wake ni ile ambayo naweza kuiita "Utanzania Wetu". Katika hotuba hii Mkapa alikuwa anazungumzia hicho kitu yaani "utanzania"; je katika ulimwengu wa leo "utanzania" una maana gani? Je tunaweza kusema kitu hiki ni cha "kitanzania" au kinyume na "utanzania" wetu?

Hoja yake ilikuwa tumepoteza hiyo shared value yetu iitwayo "Utanzania"...

...hakuna shared value wala utanzania hapo...ni wizi na rushwa tuu,bado siamini kama JK na wenzake bado wanahangaika na hawa mafia!
 
MMK, nimesoma between lines nimechukua No. zote ulizotutumia sasa ngoja nizifyatue kwenye Poivy yangu hapa fasta wapate ujumbe kwa mkupuo. Be blessed Man
 
...hakuna shared value wala utanzania hapo...ni wizi na rushwa tuu,bado siamini kama JK na wenzake bado wanahangaika na hawa mafia!

Petu Hapa, mojawapo ya hotuba alizowahi kutoa Mkapa na binafsi niliikubali msingi wake ni ile ambayo naweza kuiita "Utanzania Wetu". Katika hotuba hii Mkapa alikuwa anazungumzia hicho kitu yaani "utanzania"; je katika ulimwengu wa leo "utanzania" una maana gani? Je tunaweza kusema kitu hiki ni cha "kitanzania" au kinyume na "utanzania" wetu?

Hoja yake ilikuwa tumepoteza hiyo shared value yetu iitwayo "Utanzania"...



Bora hata tungekua tunafahamu na kutambua 'values' zetu kama wa Tanzania ni nini. Ilikua hatuhitaji kukumbushwa 'values' zetu. especially viongozi ambao ndiyo 'role models' wetu. 'Values' zinazotukuza ubinafsi, ulafi (greed), ufisadi, uongo, uwizi ni 'values' ambazo zipo kinyume na nature yetu ya 'humaness'. As a human being we are supposed to be able to feel sadness, anger, guilt at things that go against our core values.

Kama kiongozi, hizi feelings-- ziwe Utanzania, honesty, integrity etc.-- zinatakiwa ziku-alert au zijitokeze pale ambapo choices, actions au maamuzi unayochukua yanakwenda kinyume na values zako na yanaweza kuathiri jamii au nchi yako.
 
Mwanakijiji Man, Nimesoma nikaelewa post yako vilivyo. Mzee you are YOU and a half! Keep it up. Kwa wale wanaopitia kitabu kimoja kinachoitwa BIBLE utaona uandishi huu kwenye zile paragrafu za mwanzo unalandana na uandishi kipindi kile anasulubishwa YESU.
 
hakuna kitu kibaya kama historical amnesia; Usipojua historia ya jambo waweza kujikuta unalirudia!
 
Mwanakijiji,

..we need to send messages to someone who has a leverage on our President's decisions.unfortunately there is no such person.

Mkuu JokaKuu,

Inawezekana umesahau? I think Rostam has a leverage on JK decisions.

Tiba
 
Nakupa namba za simu, tuma sms au piga waambie: “Tunahitaji Umeme, siyo wa Dowans, zungumzeni na watengenezaji”. Namba ya Rais Kikwete 754 777 775, namba ya Dk. Idris Rashid 754 – 280 442, ya Rostam 754-555 555 na ya Mhe. William Ngeleja ni 754 710 070. Tuwaheshimu lakini tusiwaogope. Ni ndugu zetu hawa, ni Watanzania wenzetu hawa ninaamini kwa wingi wetu tukiwashawishi kwa hoja hatimaye watatusikiliza.

Hizi namba za simu mbona zafanana?

Kikwete(????????Vodacom)
Idris(Former MD-Vodacom)
Rostam(Majority Shareholder-Vodacom)
Ngeleja(Former Lawyer-Vodacom)
 
Mh Yuko nje, I hope simu yake ana roam-nahisi atapata muda mzuri wa kutafakari kama akipelekewa msg
 
mzee kama kawaida yako umetoa mwanga sana, lakini tunatatizo moja tu nchi hii; je haya viongozi wetu wanayajua? je wanafanya nini? Je tunavyotaka sisi ndivyo wanavyotaka wao?..
serikali haijali na haina maslahi na mtazamo wetu...na hatuna viongozi walioko tayari kujitoa mhanga nchi hii, tumejaa unafiki tu, hata wale wanaosema hawasemi kwa ujasiri na uwazi wanatudanganya tu.....
mimi imefika muda nimekata tamaa na haya mambo,ni bora tukae tuanze kupanga hoja mpya..lakini..richmond/dowans/kagoda....forget it...nobody dares!!!! mimi namuachia mungu....ipo siku tutapa wa kutuokoa, ila kwa sasa tujipange upya...tutumieni nafasi ya 2010 kuleta mabadiliko.....MUNGU AWALAANI WALE WOTE WATAKAO MPIGIA KURA JK....
 
Asante sana Kidatu... of course yeye mazungumzo yake yako na Serikali. Tanesco wataambiwa tu cha kufanya lakini hili ni la serikali na nyuma yake ni JK mwenyewe. Msikose magazeti ya kesho kwa walioko Bongo kwani mengine yataenda mbele zaidi kwenye hili...

Big up MKJJ... Kazi nzuri na uendelee mbele mkuu ktk kusaidia kutetea umma wa watanzania kupitia kalamu (Mkuu nimeipenda hii.. Uliona wapi nguruwe wakiandamana kupinga matope au samaki wakiyakana maji?- MM )
 
ninao uhakika mia kwa mia viongozi wetu hawapati pinch ya maisha kama watanzania wa kawaida ndio maana hawawezi kuwa wakali na dhana ya utanzania, kama jk yeye hana life tofauti na any rich guy wa ulaya unadhani ataona umuhimu wa kusimamia utanzania? wengi tumekuwa hadi nje ya nchi ukiongea na wananchi wa huko utatambua ni namna gani hili jambo la uduni wa maisha lilivyo kushto anajaribu kuimagine haelewi, anauliza si mnauza gold kwetu nyie?utaalii? pia si mpo wachache sana? bidhaa za misitu? sasa yale mapori mnayaacha ya kazi gani?na hizi shutuma za ubadhirifu kwanini mnazidi kuwaelect hao hao wanaowaonea?wasioperform? huku naona watu wengi wa nchini mwenu wanazo accounts nono kabisa hakuna mabenki kwenu?au banks wanawaibia hela mkideposit?pia nakumbuka nyie si land locked country why tatizo la bandari haliishi?ujue ile bandari ingetosha kulisha nchi nzima?mkimodernise majirani wote wanahamia kwenu!hakuna wasomi wa kutosha?sasa nani anaendesha mashirika makubwa kama hayo?haoni mfano kama roterdam,amsterdam,newyork,ruhr etc?si manakopa tu na kujifunga kwa mda then soon mambo yenu yanakuwa mazuri!! mwenzango unabaki unatoa macho na kuwa baridiii pia kutetemeka! ' AFRICA TUNAO MARAISI WA KUTETEA VYAMA NA KULIPA FADHILA ZA WANAOWAWEKA MADARAKANI' WENGI
 
ninao uhakika mia kwa mia viongozi wetu hawapati pinch ya maisha kama watanzania wa kawaida ndio maana hawawezi kuwa wakali na dhana ya utanzania, kama jk yeye hana life tofauti na any rich guy wa ulaya unadhani ataona umuhimu wa kusimamia utanzania? wengi tumekuwa hadi nje ya nchi ukiongea na wananchi wa huko utatambua ni namna gani hili jambo la uduni wa maisha lilivyo kushto anajaribu kuimagine haelewi, anauliza si mnauza gold kwetu nyie?utaalii? pia si mpo wachache sana? bidhaa za misitu? sasa yale mapori mnayaacha ya kazi gani?na hizi shutuma za ubadhirifu kwanini mnazidi kuwaelect hao hao wanaowaonea?wasioperform? huku naona watu wengi wa nchini mwenu wanazo accounts nono kabisa hakuna mabenki kwenu?au banks wanawaibia hela mkideposit?pia nakumbuka nyie si land locked country why tatizo la bandari haliishi?ujue ile bandari ingetosha kulisha nchi nzima?mkimodernise majirani wote wanahamia kwenu!hakuna wasomi wa kutosha?sasa nani anaendesha mashirika makubwa kama hayo?haoni mfano kama roterdam,amsterdam,newyork,ruhr etc?si manakopa tu na kujifunga kwa mda then soon mambo yenu yanakuwa mazuri!! mwenzango unabaki unatoa macho na kuwa baridiii pia kutetemeka! ' AFRICA TUNAO MARAISI WA KUTETEA VYAMA NA KULIPA FADHILA ZA WANAOWAWEKA MADARAKANI' WENGI HATA HUO UWEZO WA LEADERSHIP HAWANA' brother Kagame anajitahidi soon itakuwa km Botwana tutaanza kukimbilia vya watu soon!
 
Mwanakijiji

Asante kwa kutuhabarisha na endelea na moyo huo huo Mungu akubariki sana.

Hii nchi yetu wameshaiuza na wameshagawana sisi tunabaki kudanganywa tuu.

Mi naomba kuuliza Hvi JK huwa anapata muda wa kusoma Magazeti, kuingia kwenye Internet, kuangalia TV LOCAL Programmes, Kuangalia taharifa za Mahabari za Hapa nyumbani?

Hivi haya mambo yote ya Dowanas ina maana hayajui au Wasaidizi wake hawajui?

Idara ya Usalama wa Taifa inafanya nin sasa?

Yaani maswali ni mengi sana ninayojiuliza na sipati Majibu

Nisaidieni jamani
 
Mzee Mwanakijiji, that was then, how about now, serikali imerudia matapishi ya IPTL, we are paying for it dearly, mitambo ni chakavu mara 10 ya dowans, gharama za uendeshaji ni juu mara 5 ya dowans, uharibifu wa mazingira ni juu mara 8 ya dowans, ni serikali ndiyo inatoa hizo pesa but at the end, ni mimi, wewe sisi na wao na wananchi kwa ujumla ndio watalipia, jee bado tuendeleze hasira za mmiliki ama tukomae tusigeuke nyuma tukageuga jiwe la chumvi angalau mnara wa kumbukumbu ukabakia, bali tushikilie msimamo hata kama mwishowe ni kuteketea kabisa without trace?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom