Wadau haswa lale lalioenda umri kidogo, hebu tukumbushane mabasi yetu ya zamani. Mengi yalikuwa ni Leyland.
Nakumbuka Njuweni, Masama Clif na Masama Safari, Yarabi Salama na Yarabi Toba,
Rombo generation........Wale wa Rombo kulikuwa na Rombo Investment, Rombo Tulia,.....
Ngoma TTBS ukipanda dar waiona kesho yake!Kamwanga Line, Huduma ya Usafiri Tarakea, TTBS, Rombo Mwelekeo na Katarimos!
Rekebisha swali uliza unataka kujua Kampuni za zamani za mabasi tz.
Mashiku, Serengeti, Tanganyika bus na Farai couch kwa safari za Mwanza-Musoma miaka ya 90.
Sijaona aliyetaja Safina. Bazzu sitalisahau. Ila mlio wa Leyland ulikuwa unanimaliza hasa kwenye mlima