VICTORIA TOURS - Mbeya to Iringa, mnaondoka Mby saa 2 usiku halafu mnaingia Iringa saa 12 asb.
Manyani wee, twa mbombo? hivi mzee Karanja yupo tky bado?
Manyani wee, twa mbombo? hivi mzee Karanja yupo tky bado?
Wale wa Rombo kulikuwa na Rombo Investment, Rombo Tulia,.....
dah..., kwa sisi wa nyumbi hii, bombi hii..., kiswele ilikua noma aisee,, ila miaka ya kati hapo ikaja ruvuma tours.., na chiku express.., hizi bus ilikua ukipanda, roho mkononi, dereva anakula bia huku anaendesha na hamna anayelalamika
Kulikuwa na basi moja linaenda mbeya miaka ya 90, dereva wake alikuwa anaitwa Giriki.Hilo basi bwana ni mwendo mwendo
Wadau haswa lale lalioenda umri kidogo, hebu tukumbushane mabasi yetu ya zamani. Mengi yalikuwa ni Leyland.
Nakumbuka Njuweni, Masama Clif na Masama Safari, Yarabi Salama na Yarabi Toba,