Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Zimekatwa sana issue za UDSM na Mzumbe hapa lakini naona tumekasahau haka ka institute kalikopo mtaa wa Shaaban Robert. Nimeskia mengi sana kuhusu hiki chuo yakiwemo ya walimu kufanya biashara ya kuuza mitihani esp. supplimentaries, na walimu haohao kuonyesha udhaifu wa kutisha kwa mabinti wanaosoma hapo.
Wafanyakazi vilaza wa BOT na TRA ndio wana reputations kwenye suala la kununua mitihani, jambo ambalo linawakera wanafunzi wengine ambao wanakesha usiku kucha wakisoma wakati wenzao wanakunywa bia. Na kwa kuwa masista duu wengi wanauelewa udhaifu wa walimu wao, wamekuwa wakitumia mwanya huo kujipata vyeti kiulaini na kuendelea kujaza maofisi yetu kwa diploma na advanced diploma za chupi.
Uozo huu na mingine mingi inayoendelea kwenye kachuo hako ulipelekea Mkuu wa Chuo hicho kuondolewa, inaeleweka pia kwamba Bw Madofe naye alikuwa ni mtu wa kuendekeza sana sketi chuoni hapo. Je Principal mpya- Prof Doriye atamudu kusafisha uchafu ambao umelundikana chuoni hapo kwa muda mrefu?
Wafanyakazi vilaza wa BOT na TRA ndio wana reputations kwenye suala la kununua mitihani, jambo ambalo linawakera wanafunzi wengine ambao wanakesha usiku kucha wakisoma wakati wenzao wanakunywa bia. Na kwa kuwa masista duu wengi wanauelewa udhaifu wa walimu wao, wamekuwa wakitumia mwanya huo kujipata vyeti kiulaini na kuendelea kujaza maofisi yetu kwa diploma na advanced diploma za chupi.
Uozo huu na mingine mingi inayoendelea kwenye kachuo hako ulipelekea Mkuu wa Chuo hicho kuondolewa, inaeleweka pia kwamba Bw Madofe naye alikuwa ni mtu wa kuendekeza sana sketi chuoni hapo. Je Principal mpya- Prof Doriye atamudu kusafisha uchafu ambao umelundikana chuoni hapo kwa muda mrefu?