Tuelimishane kuhusu utaalamu unaotumika kutengeneza madaraja marefu baharini

God'sBeliever

JF-Expert Member
Sep 1, 2015
5,790
3,020
Nimekua nikijiuliza mara nyingi teknolojia inayotumika kutengeneza madaraja yanayopita katikati ya maji eitha kwenye mito mikubwa, ziwa au bararini mfano kigamboni n.k ila sijafanikiwa kupata jibu.

1.Huwa wanaweka vipi simenti huko katikati chini ya maji wakati wanasimika nguzo za daraja isichukuliwe na maji ningali ni mbichi? na inakaukaje wakati ipo kwenye maji?

2.Wanatumia kifaa gani kuteremsha huo mchanga na machuma kusimika hizo nguzo za daraja?
Huko chini ardhi haiwezi kuwa laini na hatimaye daraja kudidimia pindi gari nzito mfano scania inapopita? vitu gani wanaweka huko chinin ili kusimamisha kitu imara?

3.Hizo barabara ndefu haziwezi kuvunjika? maana unaweza kuta distance kutoka nguzo moja hadi nyingine ni ndefu mno sasa nashangaa stability ya hayo machuma.

4.Najua kutakuwepo na maximum ya uzito flani kupita katika hayo madaraja lakini mbona madaraja mengi yamekaa mda sana bila kubadiulishwa na yanatumika 24hrs bila matatizo, mfano WAMI huwa halichoki? halihitaji repair?
 
Nimekua nikijiuliza mara nyingi teknolojia inayotumika kutengeneza madaraja yanayopita katikati ya maji eitha kwenye mito mikubwa, ziwa au bararini mfano kigamboni n.k ila sijafanikiwa kupata jibu.

1.Huwa wanaweka vipi simenti huko katikati chini ya maji wakati wanasimika nguzo za daraja isichukuliwe na maji ningali ni mbichi? na inakaukaje wakati ipo kwenye maji?

2.Wanatumia kifaa gani kuteremsha huo mchanga na machuma kusimika hizo nguzo za daraja?
Huko chini ardhi haiwezi kuwa laini na hatimaye daraja kudidimia pindi gari nzito mfano scania inapopita? vitu gani wanaweka huko chinin ili kusimamisha kitu imara?

3.Hizo barabara ndefu haziwezi kuvunjika? maana unaweza kuta distance kutoka nguzo moja hadi nyingine ni ndefu mno sasa nashangaa stability ya hayo machuma.

4.Najua kutakuwepo na maximum ya uzito flani kupita katika hayo madaraja lakini mbona madaraja mengi yamekaa mda sana bila kubadiulishwa na yanatumika 24hrs bila matatizo, mfano WAMI huwa halichoki? halihitaji repair?
Ninavyoona MAELEZO MATUPU HAYATAKUSAIDIA, SASA NAKUOMBA WEKA BANDO LA KUTOSHA KISHA ANGALIA HIZI VIDEO HAPA CHINI. LAKINI KAMA YUPO ANAYEWEZA KUTOA MAELEZO BILA VIDEO POA.


 
1: kunatengenezwa casing inayoshabihihana kwa vipimo na pier ambayo itabeba daraja lenyewe.

Casing hiyo inaweka barrier ya kutosha kuruhusu maji yaliyondani kuweza kutolewa na kuzuia mengine yasiingie..kwa kasi.

Inawekwa preliminary cementing materials mbali na binding kupunguza seepage ya maji into the casing.

Baada ya kuridhika... basi nondo zilizosukwa na kwa kiwango stahiki hushushwa ndani ya casing. Na aina ya cement zinazotumiwa huwa zina sifa ya kuganda na kutengeneza nguvu haraka sana. Na pia cement hiyo inakuwa na uwezo wa kuresist adverse effects za mji ya mto au bahari.
Baada ya muda casing hutolewa ama huachwa kwa muda.

2: tazama hiyo video kuna vifaa..na technologia inatofautian. Wengine baada ya kuweka barrier ya maji casing zake zinakuwa na upana wa kutosha hadi kufikia meter 7x7. Hapa ni kwa madaraja yanayokuwa katika kina kifupi. Na material kama mchanga na wa ziada na mengineyo husafirishwa kwa meli ama ferry.

3: kwenye daraja hususani haya yanayopita baharini na mito mipana... ni madaraja yanaitwa suspension bridge na cable bridges.. mfn hilo la kigamboni. Ile bridge deck ambapo barabara hupita imebebwa na zile cables ambazo zimeshikizwa na nguzo ama piers za daraja zilizotokeza mpaka juu. Kwa designhusika hizi cables zinabeba sehemu tu ya barabara kwa kila cable. Na huwa na nguvu sawa nyingi zake. Wanaangalia sehemu gani inaweza kuwa na hatari ya kudondoka (design at worst conditions) then wana weka design hiyo kote.

4: kwenye design ya structures kuna vitu vinaitwa service limit...na ultimate design limit. Hiyo ya kwanza tunasema tuna design kutokana na matumizi ya kitu. Hivyo jinsi linavyotumika ndivyo unavyoweka viwango vya kudesign ila huwa yanafikia mwisho. Kwa upande mwingine, ultimatel design limit tunasema kitu chochote huwa kina mwisho wake. Hivyo tunapodesign tunweka na allowance ya muda wa mwisho wa daraja am jengo kutumika na pia tunaweka schedule ya maintenance ya jengo/ daraja.
Unadesign jengo unasema litumike kwa miaka 50 au 100. Hivyo hata unatakapo chagua material ya kujengea, design formula na hata workmanship yako lazima iakisi ubora wa muda mrefu wa jengo wakati wote yaani wakati wa kujenge, wakati wa kutumika na maintenance na pia wakati wa kuliharibu jengo lenyewe. ..
 
1: kunatengenezwa casing inayoshabihihana kwa vipimo na pier ambayo itabeba daraja lenyewe.

Casing hiyo inaweka barrier ya kutosha kuruhusu maji yaliyondani kuweza kutolewa na kuzuia mengine yasiingie..kwa kasi.

Inawekwa preliminary cementing materials mbali na binding kupunguza seepage ya maji into the casing.

Baada ya kuridhika... basi nondo zilizosukwa na kwa kiwango stahiki hushushwa ndani ya casing. Na aina ya cement zinazotumiwa huwa zina sifa ya kuganda na kutengeneza nguvu haraka sana. Na pia cement hiyo inakuwa na uwezo wa kuresist adverse effects za mji ya mto au bahari.
Baada ya muda casing hutolewa ama huachwa kwa muda.

2: tazama hiyo video kuna vifaa..na technologia inatofautian. Wengine baada ya kuweka barrier ya maji casing zake zinakuwa na upana wa kutosha hadi kufikia meter 7x7. Hapa ni kwa madaraja yanayokuwa katika kina kifupi. Na material kama mchanga na wa ziada na mengineyo husafirishwa kwa meli ama ferry.

3: kwenye daraja hususani haya yanayopita baharini na mito mipana... ni madaraja yanaitwa suspension bridge na cable bridges.. mfn hilo la kigamboni. Ile bridge deck ambapo barabara hupita imebebwa na zile cables ambazo zimeshikizwa na nguzo ama piers za daraja zilizotokeza mpaka juu. Kwa designhusika hizi cables zinabeba sehemu tu ya barabara kwa kila cable. Na huwa na nguvu sawa nyingi zake. Wanaangalia sehemu gani inaweza kuwa na hatari ya kudondoka (design at worst conditions) then wana weka design hiyo kote.

4: kwenye design ya structures kuna vitu vinaitwa service limit...na ultimate design limit. Hiyo ya kwanza tunasema tuna design kutokana na matumizi ya kitu. Hivyo jinsi linavyotumika ndivyo unavyoweka viwango vya kudesign ila huwa yanafikia mwisho. Kwa upande mwingine, ultimatel design limit tunasema kitu chochote huwa kina mwisho wake. Hivyo tunapodesign tunweka na allowance ya muda wa mwisho wa daraja am jengo kutumika na pia tunaweka schedule ya maintenance ya jengo/ daraja.
Unadesign jengo unasema litumike kwa miaka 50 au 100. Hivyo hata unatakapo chagua material ya kujengea, design formula na hata workmanship yako lazima iakisi ubora wa muda mrefu wa jengo wakati wote yaani wakati wa kujenge, wakati wa kutumika na maintenance na pia wakati wa kuliharibu jengo lenyewe. ..
Heshima kwako mkuu, ila hapo kwenye service limit napata ugumu kidogo ndio kila kitu kina muda wake wa kuharibika/expire ila mbona majengo kibao naona yanadunda tuu toka karne na karnr mfano ikulu ya marekani, majengo ya kanisa katoliki huko roma italia na mengine tunayaona hapa bongo na yana zaid ya miaka 120 mbona yanadunda tuu au watu wanajichanganya?

Pia hizo cable mkuu ni za aina gani hazikatiki? fikiria scania ikipita na makontena kibao inakuaje?

Yale maji kule kwenye pier hayawezi zoa kabisa hizo pia mfano erosion inayoendelea mdogo mdogo kutokana na mtikisiko?

Tuchukulie lile la kigamboni au hilo jipya litakalojengwa litachukua mda gani kuharibika?
 
Heshima kwako mkuu, ila hapo kwenye service limit napata ugumu kidogo ndio kila kitu kina muda wake wa kuharibika/expire ila mbona majengo kibao naona yanadunda tuu toka karne na karnr mfano ikulu ya marekani, majengo ya kanisa katoliki huko roma italia na mengine tunayaona hapa bongo na yana zaid ya miaka 120 mbona yanadunda tuu au watu wanajichanganya?

Pia hizo cable mkuu ni za aina gani hazikatiki? fikiria scania ikipita na makontena kibao inakuaje?

Yale maji kule kwenye pier hayawezi zoa kabisa hizo pia mfano erosion inayoendelea mdogo mdogo kutokana na mtikisiko?

Tuchukulie lile la kigamboni au hilo jipya litakalojengwa litachukua mda gani kuharibika?

Well kwenye designing ya vitu huwa tunaweka factor of safety. Yaani kama jibu ni mbili basi tunazidishia na 1.5 kufanya iwe tatu. Maana yake ni kwamba, tunazidisha ubora wa jengo ama structure mara noja nusu kutoka keenye true value yake.
Lakini hili pekee halitoshi, lazima kuwe na usimamiaji wa vuwango katika kujenga. Kwamba kama nguzo ni upana wa mita moja basi iwe mita moja, sio zaidi na wala sio pungufu. Mjebzi huongozwa na kitu kinaitwa specification.. ambayo humuongoza mjenzi kuua anaweka nondo ngapi zenye ybora upi na kwa namna fani.. au maji awekeje au zege achanganye vipi.

Ukiweza kusimamia hivi bila ubabaishaji then tunasema jengo lako litadunu kwa muda uliokusudiwa. Tunasema jengo liliokuwa designed na engineer basi at least liishi nmaka 50 kabla ya kufanyiwa massive maintenance na rehabilitation. Sasa hii ni assumption ya awali. Ila wakati mwingine design zinawekwa kwa kuishi miaka 100 na kuendelea ndo maana mengi yanakuwa frame structure ili kuruhusu mabadiliko ya interior design bila kuathiri jengo lote.

Nikijibu maswali yako

1: cable haziwezi kukatika kwa mzigo wa daraja pekee... maana design at worst conditions inahusisha hata pale ikitokea ajali barabarani, na pia hata zinavyosukwa ni kama zina kuwa twisted.. nitamani nikuelezee zaidi hapa ila jua ni very high strength steel cables ambazo zinaundwa na small steel twisted threads. Hii pekee inatosha kubeba uzito mkubwa sana

2: maji hayawezi zoa pier. Maana mbali na shape ya pier yenyewe ilivyo ambayo inapunguza frictions ya maji at the surface... pia design zote huwa zina zuia kutokea kwa scouring effect.. yaani maji yanachimba ardhi n kulegeza msingi.

3: design details huelezea design life ya jengo ambayo uhusisha mambo mengi sana. Mpaka kufikia kufanya design basi hua kuna alot of feasibility studies done.

Mara nyingi kuna kitu kwenye madaraja na hydraulic structures... kinaitwa returning period. Nitakuja elezea zaidi next time
 
Inasemekana kwamba ni mchina pekee ndiye mwenye uwezo wa kujenga hz piers kutoka kwny sea bed mpk juu ama water lvl o above, je n kwel hli dai......??

Technology tu. Kwa nchi nyingi kama Tanzania, wahandisi wamekuwa limited na technology. Kuhusu kuweka pier na abutment, hata marekani wanaweza,na nchi nyingine ulaya na Russia pia.

Utakuta kuna makampun yame specialise kwenye kuweka piles/piers tu. Na hao wanakuwa bora sana.
 
Na kuna ule umeme tunaombiwa umetambaa chini ya bahari mpk nchi ya jirani!
 
Na kuna ule umeme tunaombiwa umetambaa chini ya bahari mpk nchi ya jirani!

Hilo ni nje ya uwelewa wangu ila kuna cables maalumu ambazo zipo kufanya hiyo kazi. Ili ku avoid kujikunja na kuharibika basi wahandisi hujaribu kulevel the sea bed...kwa kutumia mchanga ama kokoto kujzalizia zile sehemu ambazo zina slope kubwa sana.

Wakifanikiwa hapo. Basi cables zinalala bila shida
 
Well kwenye designing ya vitu huwa tunaweka factor of safety. Yaani kama jibu ni mbili basi tunazidishia na 1.5 kufanya iwe tatu. Maana yake ni kwamba, tunazidisha ubora wa jengo ama structure mara noja nusu kutoka keenye true value yake.
Lakini hili pekee halitoshi, lazima kuwe na usimamiaji wa vuwango katika kujenga. Kwamba kama nguzo ni upana wa mita moja basi iwe mita moja, sio zaidi na wala sio pungufu. Mjebzi huongozwa na kitu kinaitwa specification.. ambayo humuongoza mjenzi kuua anaweka nondo ngapi zenye ybora upi na kwa namna fani.. au maji awekeje au zege achanganye vipi.

Ukiweza kusimamia hivi bila ubabaishaji then tunasema jengo lako litadunu kwa muda uliokusudiwa. Tunasema jengo liliokuwa designed na engineer basi at least liishi nmaka 50 kabla ya kufanyiwa massive maintenance na rehabilitation. Sasa hii ni assumption ya awali. Ila wakati mwingine design zinawekwa kwa kuishi miaka 100 na kuendelea ndo maana mengi yanakuwa frame structure ili kuruhusu mabadiliko ya interior design bila kuathiri jengo lote.

Nikijibu maswali yako

1: cable haziwezi kukatika kwa mzigo wa daraja pekee... maana design at worst conditions inahusisha hata pale ikitokea ajali barabarani, na pia hata zinavyosukwa ni kama zina kuwa twisted.. nitamani nikuelezee zaidi hapa ila jua ni very high strength steel cables ambazo zinaundwa na small steel twisted threads. Hii pekee inatosha kubeba uzito mkubwa sana

2: maji hayawezi zoa pier. Maana mbali na shape ya pier yenyewe ilivyo ambayo inapunguza frictions ya maji at the surface... pia design zote huwa zina zuia kutokea kwa scouring effect.. yaani maji yanachimba ardhi n kulegeza msingi.

3: design details huelezea design life ya jengo ambayo uhusisha mambo mengi sana. Mpaka kufikia kufanya design basi hua kuna alot of feasibility studies done.

Mara nyingi kuna kitu kwenye madaraja na hydraulic structures... kinaitwa returning period. Nitakuja elezea zaidi next time
Mkuu nashukuru sana nimetosheka kwa majibu yako mazuri sasa nimeelewa.
Ila pia niwape heshima wanaotengeneza hizo cable.
 
Well kwenye designing ya vitu huwa tunaweka factor of safety. Yaani kama jibu ni mbili basi tunazidishia na 1.5 kufanya iwe tatu. Maana yake ni kwamba, tunazidisha ubora wa jengo ama structure mara noja nusu kutoka keenye true value yake.
Lakini hili pekee halitoshi, lazima kuwe na usimamiaji wa vuwango katika kujenga. Kwamba kama nguzo ni upana wa mita moja basi iwe mita moja, sio zaidi na wala sio pungufu. Mjebzi huongozwa na kitu kinaitwa specification.. ambayo humuongoza mjenzi kuua anaweka nondo ngapi zenye ybora upi na kwa namna fani.. au maji awekeje au zege achanganye vipi.

Ukiweza kusimamia hivi bila ubabaishaji then tunasema jengo lako litadunu kwa muda uliokusudiwa. Tunasema jengo liliokuwa designed na engineer basi at least liishi nmaka 50 kabla ya kufanyiwa massive maintenance na rehabilitation. Sasa hii ni assumption ya awali. Ila wakati mwingine design zinawekwa kwa kuishi miaka 100 na kuendelea ndo maana mengi yanakuwa frame structure ili kuruhusu mabadiliko ya interior design bila kuathiri jengo lote.

Nikijibu maswali yako

1: cable haziwezi kukatika kwa mzigo wa daraja pekee... maana design at worst conditions inahusisha hata pale ikitokea ajali barabarani, na pia hata zinavyosukwa ni kama zina kuwa twisted.. nitamani nikuelezee zaidi hapa ila jua ni very high strength steel cables ambazo zinaundwa na small steel twisted threads. Hii pekee inatosha kubeba uzito mkubwa sana

2: maji hayawezi zoa pier. Maana mbali na shape ya pier yenyewe ilivyo ambayo inapunguza frictions ya maji at the surface... pia design zote huwa zina zuia kutokea kwa scouring effect.. yaani maji yanachimba ardhi n kulegeza msingi.

3: design details huelezea design life ya jengo ambayo uhusisha mambo mengi sana. Mpaka kufikia kufanya design basi hua kuna alot of feasibility studies done.

Mara nyingi kuna kitu kwenye madaraja na hydraulic structures... kinaitwa returning period. Nitakuja elezea zaidi next time
asante kwa elimu mkuu.
 
Back
Top Bottom