Tuelimishane kuhusu utaalamu unaotumika kutengeneza madaraja marefu baharini

suspension bridge!!..
Kwa mara ya kwanza nasoma aina hii ya madaraja mnamo 2008/009 nakumbuka nlisoma habari ya Daraja la Brooklyn ambalo lilijengwa ktk karne ya 19 miaka ya 1880's na kumalizika 1883,Issue kubwa ni kwamba wajenzi wengi walipoteza maisha na hatimaye miaka ilivyosogea zaidi mkandarasi Mkuu alifariki..,Mkwelima wake akashika ukandarasi kwakua naye alikua mkandarasi,Na iliwachukua muda kulimaliza!!.Na teknolojia ilikua bado chini sana ila walifanikisha kazi hiyo,Hawa jamaa kitambo sanaaa ktk hzi mambo
 
Huu ni mfano wakiwa wanataka weka piers kwenye maji
 

Attachments

  • 1475545664293.jpg
    1475545664293.jpg
    19.1 KB · Views: 100
Inasemekana kwamba ni mchina pekee ndiye mwenye uwezo wa kujenga hz piers kutoka kwny sea bed mpk juu ama water lvl o above, je n kwel hli dai......??
hakuna kitu kama hicho Teknolojia imeanza kwa mzungu
 
Technology tu. Kwa nchi nyingi kama Tanzania, wahandisi wamekuwa limited na technology. Kuhusu kuweka pier na abutment, hata marekani wanaweza,na nchi nyingine ulaya na Russia pia.

Utakuta kuna makampun yame specialise kwenye kuweka piles/piers tu. Na hao wanakuwa bora sana.
Na kwa hapa tz wanaoweka hizo pier ni frank hii kampuni ndio imeweka majengo yote marefu kwa hapa dar
 
Inasemekana kwamba ni mchina pekee ndiye mwenye uwezo wa kujenga hz piers kutoka kwny sea bed mpk juu ama water lvl o above, je n kwel hli dai......??
Mchina ananunua technologia kutoka Israel!
 
Thread Mzuri Sana Hii Ila Mimi Nikuombe Jambo Moja Kama Una Nafasi Njoo Dar Pale Salender Bridge Zoezi La Ujenzi Limeanza Na Tayari Kuna Zoezi La Nondo Zimesimamishwa Ndani Ya Bahari
Kila Wakati Wanakuwa Mzigoni Jamaa
 
sasa hao watu wanaoweka nondo katikati ya bahari wenyewe wanakua wapi? hizo nondo zinabebwa na ndege? yaan hua najiuliza sana kuhusu haya madaraja
 
Usizungumzie wami hilo hata ukarabati hauwezi kufanywa maana litawanufaisha watu wa kaskazini miaka nenda miaka rudi wami ni hilo hilo hata mkulu anajua hilo maana alikuwa huko kwenye wizara hata hakulikumbuka ( TUMSAMEHE MR WAMI NO UKARABATI )
 
Usizungumzie wami hilo hata ukarabati hauwezi kufanywa maana litawanufaisha watu wa kaskazini miaka nenda miaka rudi wami ni hilo hilo hata mkulu anajua hilo maana alikuwa huko kwenye wizara hata hakulikumbuka ( TUMSAMEHE MR WAMI NO UKARABATI )
TUTAJENGA WENYEWE
 
Back
Top Bottom