Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
Duh mbn ghali ivo.Mimi huwa nanunua data pekee kwa TZS 3400 napata 1GB wiki nzima na pia Social Network zote ni bure!
Wakati voda 1GB ni buku.
Duh mbn ghali ivo.Mimi huwa nanunua data pekee kwa TZS 3400 napata 1GB wiki nzima na pia Social Network zote ni bure!
yote except ttclJe ni mtandao gani una unafuu kwa mahala ulipo?
Duh mbn ghali ivo.
Wakati voda 1GB ni buku.
4G tz ipo chini ya tigo acha ubishi mkuuSisi ni miongoni mwa hiyo Mitandao na hatutumii NET ya Tigo kama vitu hujui nyamaza
= ladha
Hakuna mtandao unaokuta Vodacom 4G kwa speed.Kwakweli mi nimependa quality yake iko juu saana ina kasi zaidi napata video kwa haraka zaidi compared na mitando niliyowahi kutumia hapo awali
Wana wateja wachache sasa hvWakuu hali zenu!!!
Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri saana kwakweli.
Naweza kustream video vyema kabisaa na hata zile short films za social network kama Instagram vids yaani zina flow kwa haraka zaidi.
Kwa hakika hawa jamaa wamejipanga vyema!!
Hongera kwao. Wajitahidi kasi hii iwe endelevu zaidi.
Nilinunua line ya TTCL ya 4G kwa tshs. 2000/-,nikaweka kwenye simu. Kuvuka mataa ya ubungo network ikakata,sijawai itumia tena mpaka leo hii.
yani hiyo 4G ya TTCL uozo mtupu...kama unataka stress nunua uone plus wako expensive af hamna kitu waiiii....
Hakuna mtandao unaokuta Vodacom 4G kwa speed.
povu tu linanitoka mkuu...
Umeijaribu??? au Povu tuu linakutoka?
Hii voda ya shs 2000 kwa 3GB unaipataje?Kwa hii bei naendelea kutumia VODA 2000 GB 3 Wiki nzima na spidi mwendo mdundo.
*149*03#Hii voda ya shs 2000 kwa 3GB unaipataje?
*149*03#Hii voda ya shs 2000 kwa 3GB unaipataje?
halyani hiyo 4G ya TTCL uozo mtupu...kama unataka stress nunua uone plus wako expensive af hamna kitu waiiii....