TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

Wakuu hali zenu!!!

Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri saana kwakweli.

Naweza kustream video vyema kabisaa na hata zile short films za social network kama Instagram vids yaani zina flow kwa haraka zaidi.

Kwa hakika hawa jamaa wamejipanga vyema!!

Hongera kwao. Wajitahidi kasi hii iwe endelevu zaidi.
Wana wateja wachache sasa hv
 
social network bureeee??? ina maana hata nkimaliza hyo 1GB leoleo hizo Mb za social network zitakuepo au ndio bando likikatA unapita hivi
 
I know TTCL since broadband kwakweli hawa jamaa wako hot....ila sijajua coverage yao ikoje nnje ya dar na maeneo ya pembezoni mwa mji
 
afad
yani hiyo 4G ya TTCL uozo mtupu...kama unataka stress nunua uone plus wako expensive af hamna kitu waiiii....
hal

afadhalo umenistua.ninge ingia ttcl kumbe nayo ni hovyoo.kama airtel.mi natumia airtel .aisee inaboa sana.yaani ukishafika maeneo ya pugu inakata.mpaka saa nne usiku.natafuta kwa kuhamia kwa kweli
 
Back
Top Bottom