Wakuu hali zenu!!!
Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri saana kwakweli.
Naweza kustream video vyema kabisaa na hata zile short films za social network kama Instagram vids yaani zina flow kwa haraka zaidi.
Kwa hakika hawa jamaa wamejipanga vyema!!
Hongera kwao. Wajitahidi kasi hii iwe endelevu zaidi.
mkuu kila mtu na matumizi yake, hao TTCL wame target watu wao na Halotel watapata watu wao, mfano nataka kustream mpira full HD nitatafuta 4g sababu najua speed yake itanifaa, wewe unajali zaidi quantity kuliko quality hilo ni soko jengine. na kama unajali zaidi quantity kwa mawazo yangu hakuna mtandao unaoipita airtel kwa tanzania. Tsh 600 unapata 1.2Gb au 1000 unapata 2gb na usiku sh 600 ni 10gb, kama umewahi ona mtandao kama huu nijulishe.Tatzo sio 4g na 3g ila tatzo kwao ni bei kubwa kupata hiyo 1gb mm natumia halotel na tg na tgo ninajiunga 1gb kwa 1500 na ni line ya 4gb ,,hata kama unatetea kuhusu 4g ndio utashangaa mwenye line ya ttcl ya 4g unakuta hana simu inayosupport 4g ,,hapo ndio utajuaa. Kwann gwajima na kikwete sio marafiki
Very expensive...... Njoo Halotel very cheap na mtandao upo bold na fastestkweli wewe sio mtumiaji mzuri wa net! GB 3 wiki nzima!
Kwa hii bei naendelea kutumia VODA 2000 GB 3 Wiki nzima na spidi mwendo mdundo.Mimi huwa nanunua data pekee kwa TZS 3400 napata 1GB wiki nzima na pia Social Network zote ni bure!
usipotumia wewe atatumia mwenzako, hapa nilipo 4g ya tigo average 30mbps watu wananunulia line wanapata 10gb bure wanatumia zikiisha wanatupa wananunua line nyengine. wengine wanauza line zao 10,000 ambazo zina ofa ya 10gb kwa sh 500 tu, we baki huko na mi ntabaki huku kwenye ladha nzuriSisi ni miongoni mwa hiyo Mitandao na hatutumii NET ya Tigo kama vitu hujui nyamaza
ha ha ha ha! dah wabongo. ila halotel ya mveitnam iko poa au sio?
Jamaa wapo vzr,nipo kibamba huku 4G ipo fullWakuu hali zenu!!!
Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri saana kwakweli.
Naweza kustream video vyema kabisaa na hata zile short films za social network kama Instagram vids yaani zina flow kwa haraka zaidi.
Kwa hakika hawa jamaa wamejipanga vyema!!
Hongera kwao. Wajitahidi kasi hii iwe endelevu zaidi.
mkuu kila mtu na matumizi yake, hao TTCL wame target watu wao na Halotel watapata watu wao, mfano nataka kustream mpira full HD nitatafuta 4g sababu najua speed yake itanifaa, wewe unajali zaidi quantity kuliko quality hilo ni soko jengine. na kama unajali zaidi quantity kwa mawazo yangu hakuna mtandao unaoipita airtel kwa tanzania. Tsh 600 unapata 1.2Gb au 1000 unapata 2gb na usiku sh 600 ni 10gb, kama umewahi ona mtandao kama huu nijulishe.
kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, kama huna 4g itabidi utumie 3g,Hizo 4G zao ni kwa mjini tu. Ukija uku kijijini Halotel ina unafuu mkubwa sana kuliko Tigo na Voda.
kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, kama huna 4g itabidi utumie 3g,
ila hata vijijini smart ni choice nzuri na vifurushi vyao vya unlimited, kwa 20,000 kwa mwezi au 1,000 kwa siku.
Mimi sikuzote nmekuwa nkitumia TTCL, na nmefanya bench mark nathubutu kusema kwenye internet 3G au H ya TTCL ina strength kubwa sana kuliko H+ ya airtel, tigo, voda na halotel. Sasa sijui wanadanganya wateja wao na hiyo H+ na 4G zao maana ni slow na magumashi sana! TTCL wala hauhitaji 4G, 3G/H pekee inakimbiza balaa, youtube unastream non- stop.Wakuu hali zenu!!!
Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri saana kwakweli.
Naweza kustream video vyema kabisaa na hata zile short films za social network kama Instagram vids yaani zina flow kwa haraka zaidi.
Kwa hakika hawa jamaa wamejipanga vyema!!
Hongera kwao. Wajitahidi kasi hii iwe endelevu zaidi.
Sio GB 3 ,ni GB 1 kwa Tsh. 3400/=kweli wewe sio mtumiaji mzuri wa net! GB 3 wiki nzima!
Jaribu na Halotel, Tsh. 500/= GB 600 kwa wiki. Elfu 9 , GB 10 kwa Mwezi, ukitumia Cheep ya University. Internet kasi ya Ajabu pia.Wakuu hali zenu!!!
Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri saana kwakweli.
Naweza kustream video vyema kabisaa na hata zile short films za social network kama Instagram vids yaani zina flow kwa haraka zaidi.
Kwa hakika hawa jamaa wamejipanga vyema!!
Hongera kwao. Wajitahidi kasi hii iwe endelevu zaidi.
Tsh 500/= mb 600Jaribu na Halotel, Tsh. 500/= GB 600 kwa wiki. Elfu 9 , GB 10 kwa Mwezi, ukitumia Cheep ya University. Internet kasi ya Ajabu pia.
wkt mm 2 gb hazintosh ata kwa siku 3kweli wewe sio mtumiaji mzuri wa net! GB 3 wiki nzima!
Je ni mtandao gani una unafuu kwa mahala ulipo?yani hiyo 4G ya TTCL uozo mtupu...kama unataka stress nunua uone plus wako expensive af hamna kitu waiiii....
Umekosea amesema GB1 WIKI nzima....wakti mie GB 1 Ni dakika 15 tukweli wewe sio mtumiaji mzuri wa net! GB 3 wiki nzima!