Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
Hiyo kaulimbiu imesimama.Profesa Safari ambaye alikuwa akizungumza kwenye kampeni maalumu ya chama hicho ijukanayo kama Ondoa CCM Dar alisema mgomo wa madaktari unaoendelea sasa ni matokeo ya sera mbovu za mishahara zilizowekwa na Serikali.
2015 itabadilika na kuwa "ondoa CCM Tanzania"