Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Sijui Nani ana vidonda vya macho mie au Wewe?
Yanga Kavaa , KIJANI Na NJANO na NYEKUNDU KIFUANI
ToTo wamevaa NJANO na Kijani Mgongoni.
Mtani taratibu nyie mnao cheza soko mbona mnaishia kuuza viloba hapa hapa!!!
Mmetoa bei gani maana soko yanga hamliwezi labda kununua...
ngapingapi..
unajificha jua kwa kivuli cha fimbo!toto nipeni rahhhhaaa
unajificha jua kwa kivuli cha fimbo!
toto africa nipeni raha .chukueni point tatu za fasta fasta
Ligi itaisha hivi (8 bora):
1. Yanga (Bingwa)
2. Azam (mshindi wa pili)
3. Simba / Coastal
4. Simba / Coastal
5. Mtibwa
6. Prisons
7. Toto
8. Ruvu JKT
Simba sevuni hii post na msikimbie mwishoni mwa ligi!
hizo ni ndoto za alinacha; labda Manji awanunue marefariiiii wote wanaochezesha mechi zote za ligi kuu ila bahati mbaya uwezo huo hana.Ligi itaisha hivi (8 bora):
1. Yanga (Bingwa)
2. Azam (mshindi wa pili)
3. Simba / Coastal
4. Simba / Coastal
5. Mtibwa
6. Prisons
7. Toto
8. Ruvu JKT
Simba sevuni hii post na msikimbie mwishoni mwa ligi!
Dakika ya 2, Didier Kavumbagu keshafanya mambo