Afungwi mtu leohahaha mkichapwa kamoja kama kaitaba sijui mtakimbilia wapi
Radio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE Yanga kabahatisha 1 tayari. wanatangulia tu.
Dakika ya 2, Didier Kavumbagu keshafanya mambo
Haya Ndio matatizo ya Mipira yetu Tanzania sasa hivi Jezi zote mbili si zinaingiliana kuchanganyana ki Macho? wengine wangevua tu Flana au kuvaa Rangi nyengine hata Blue.
Acha unazi panzi, mbona utakimbia mwenyewe
We subiri dakika ya 90, sie tutashangilia ushindi wakati huojipeni moyo.tusubiri dakika 90
na badoRadio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE Yanga kabahatisha 1 tayari. wanatangulia tu.
Mtani taratibu nyie mnao cheza soko mbona mnaishia kuuza viloba hapa hapa!!!Mmetoa bei gani maana soko yanga hamliwezi labda kununua...
Utakuwa unaumwa wewe sio bure, hayo ni macho au vidonda.
Yanga wamevaa KIJANI
Toto wamevaa NJANO