Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 6,008
- 3,914
na wengine walikuwa na fani mbili....... footbal & zombeism ( robbery)Nilimsahau rafiki yangu Ezekiel Greyson "Jujuman" mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi. Hii list ya top 10 footballers inabidi iongezwe angalau ifikie 100, vinginevyo haitawatendea haki wachezaji wengi ambao walikuwa na viwango vya hali juu katika kusakata kandanda.