Top Ten footballers Tanzania ever produced

Tatizo la mpira wa Tanzania ni kwamba radio tanzania ndio ilikuwa inakuza majina ya wachezaji.Wengi wa mikoani ,tulitegemea masimulizi ya radio tu,huwezi kumwona mchezaji live!
Kwa hiyo tuliwaoverate wachezaji bila hata kuwaona na kulinganisha na wachezaji wengine bara la afrika au Ulaya.
Kuhusu Mohamed China kucheza Uingereza hii ni propaganda kubwa sana!Hata Mwameja alisemekana hivyo.Wahindi wafadhili waliyudanganya sana.

Wanaojua mpira ,ligi top class ni Spain,Italy.England,kidogo Germany na France.
Zingine ni uchwara tu,ila kama una toka nchi maskini ukicheza kama Denmark,Norway,Austria etc sio mbaya kupata pesa kidogo.

Kwa hiyo Kassim Manara kusheza Austria sio deal sana.Ndio maana tumeshindwa hata kucheza Africa Cup of Nations,ina maana wacheza wetu sio wazuri kama tunavyowasifia tangu miaka yote.

Mambosasa tutamjua tu wabongo,lakini ukiuliza Thomas Nkono ni afrika na dunia nzima wanaojua mpira!

- Tumewahi kucheza Africa Cup finals, kule Ghana baada ya Peter Tino kuwaua wa-Zambia dakika za mwisho sana kwenye qualifications match za awali!

es!
 
Na wengine walokwenda Uarabuni ni Mohammed Salim wa Coastal Union, na Yanga Fadhili Bwanga.

Aluu Ali mtoto wake sasa anacheza mpira UAE na captain wa timu na anachezea national team ya UAE pia.
Mohammed Salim mtoto wake aliwahi kucheza kidogo lakini sasa simsikii tena naona kama mpira kwisha.
Na yuko mtoto moja anacheza pia kwenye timu kubwa huku wanasema ni mtoto wa Yusuf Kaungu lakini not sure.


- Sawa sawa!


es!
 
Wacha kabisa. Yaani orodha yako haina jina la Nicodemus Njohole - are you serious

11. Peter Tino

12. Ramadhani Mtemi

13. Kocha Mchezaji - Hassani Hafif

14. Ardolph Rishard

15. Leodgar Tenga

16. Jela Mtagwa

17. Mohammedi Kajole

18. Ahmed Amasha

Safi saana, eee bwana nahisi hatujawahi kupata combination tamu ya central defenders kama hii ya Mkuu wa TFF na Jela Mtagwa. jamaa walikuwa vichwa. Bwana wakati huo ukisikia tu tinooooo..... ujue nyavuu.
 
1. Peter Tino
2. Zamoyoni Mogella
3. Nelson Mawazo
4. Athumani China
5. Sunday Manara
6. Juma Pondamali
7. Comrade Companero
8. Said Mwamba
9. Abubakar Salum
10. Gibson Sembuli
 
1.Athumani Mambosasa-If in doubt ask any Egypt's Mehalla el- Kubra 1970's fan.

2. Sunday Manara-First ever Tanzanian footballer to play professional in Europe.

3.Abdallah Kibadeni-Simply King.

4. Gibson Sembuli-Hot shoot Hamish.

5. Maulidi Dilunga-African 11 Captain.

6. Omary Mahadhi-Tanzania One(Original)

7. Zamoyoni Mogella-Golden Boy

8. Gobos-Pioneer

9. Omary Gumbo-Zilipendwa

10. Omary Hussaini-Keegan


*** Hamis Thobias Gaga ( Gagarino), Simwoni hapa kwenye list yako.
 
Why top 10 and not top 100?

Omari Chogo Chemba

Boi Wickens

Mohamed Kajole

William Chitete

Thuweni Ally

Makumbi Juma

Peter Tino

Willy Mwaijibe

Gilbert Mahinya

Mohamed Salim

Hamisi Gagarino Tx 1

Lilla Shomari Tx 2

Jellah 'Mlevi' Mtagwa

Idd Boi 'Wickens'

Khalid Abeid

Haidari Abeid

Hassan Gobbos

Abbas Dilunga

Maulid Dilunga

Sunday 'computer' Manara

Kassim Manara

Kitwana Manara

Adolph Rishard

Mohamed Mkweche

Mohamed Tostao

Yungi Mwanansali

Mpaka kesho namini miaka ya 60, 70, 80 Tanzania kulikuwa na wachezaji wazuri sana kuliko sasa bahati mbaya tu miaka hiyo hawakupata bahati ya kuonyesha vipaji vyao majuu, lakini wengi wangestahili kabisa kuchezea timu kubwa za dunia za wakati huo. Walikuwa na mapenzi ya kweli na timu zao na pia walikuwa wanajituma sana wanapokuwa uwanjani tofauti na hawa wa sasa. Kwa Taarifa tu pink slip ya 'Minimo" imeshaandikwa kesjo tukipigwa mbao basi kibarua kinaota majani yeye na timu yake nzima ili warudi kwao wakaendeleze gwaride maana inaelekea mpira hawaujui.
Mmesahau

Juma Bomba
Jumanne Masimenti
Zito Kiaratu
Kessy manangu
Kessy Kibuda
Msuba
Hemed Seif
Mbwana Mtoto
Mbwana Abushiri
Salim Kajembe
Mohamed makunda
Mwabuda
Mweri Simba
Bulji (Mhindi wa Mtwara)
 
Hawa je?
1. Moses Mkandawile
2. Raphael Paul "RP"
3. Yusuph Ismail Bana
4. Isihaka Hassan " Chuku"
5. Charles Boniface Mkwasa
6. Juma Mkambi "General"
7. Godian Mapango
8. Ally Katolila
9. Edward Chumila " Edo"
10. Zuberi Magoha
11. Dua Saidi
12. Bakari Idd
13. Madaraka Selemani
14. Bakari Idd
15. Thobias Nkoma
16. Deo Njohole " OCD"
17. Rajabu Rashid " Double R"
18. Abubakar Salum " Sure boy"
19. Malota Soma " Ball Jugler"
20. John Makelele " Zig Zag"
21. Kitwana Selemani
22. Hamza Mponda
23. Khalid Bitebo
24. Innocent Haule
25. Nicodemus Bambaga
26. Joram Mwakatika
27. Gebo Peter
28. Ema Peter
29. Lumumba Richard
30. Saidi George
31. Ally Maumba
32. Athumani Juma " Chama"
33. Twaha Hamidu "Noriega"
34. Daudi Salum " Bruce Lee"
35. Ayoub Mzee
36. Juma Burhani
38. Mohamed "Bob" Chopa
39. Abdallah Mwinyimkuu
40. Salum Mwinyimkuu " Carlos"
41. Isihaka Mwitu
42. Sahau Kambi
43. Celestine "Sikinde" Mbunga
44. Rashid Hanzuruni
45. Omar Hussein "Keegan"
46. Dr. Madundo Mtambo
47. Aston Pardon
48. Mbwana Makata
49. Roster Ndunguru
50. Moris Nyuchi
51. Faustin Chibichi
52. Jamhuri Kiwelo
53. Mwesa Kiwelo
54. Muhehe Kiwelo.
55. Frank kassanga "Bwalya"
56. Venance Mwakaruka
57. Eric Sagala
58. Sunday Juma
59. Salim Kitogo
60. Emmanuel Tenende
61. Julius Kalambo
62. David Roggers
63. Michael Paul " Nylon"
64. Abdu Wakati Jumaa
65. Rifat Saidi
66. Mohamed Kachumbari
67. Dennis Mdoe
68. Kichochi Lemba
69. Said Mrisho " Zico wa Kilosa"
70. Mbaraka Mohamed
71. Hamza Mponda
72. Dadi Fares
73. Peter Mhina
74. Husein Idd
75. Juma Bomba
76. Ally Jangalu
77. Juma Limonga
78. Kaunda Mwakitope
79. Ally Bushiri
80. Ibrahim Kiswabi
81. Mohamed Yahya " Tostao"
82. Mohamed Mkweche
83. Jaffary Abdulahman
84. Thuweni Ally
85. Joseph Fungo
86. Salum Kabunda " Ninja"
 
11. Malota Soma (Ball Juggler)
12: James Tungaraza (Boli Zozo)
13. Sanifu Lazaro (Tingisha)
14. Kenneth Mkapa (Kaburu)
15. Daudi Kufakunoga
16. Duwa Said
17. Idi Pazi
18. Method Mogella
19. Madaraka Selemani (Mzee wa Kiminyio)
20. Abeid Mziba (Tekero)
 
Naona sasa majina yanajirudia tu, na FMES ile fainali ilikuwa ni Nigeria na sio Ghana
 
Naona sasa majina yanajirudia tu, na FMES ile fainali ilikuwa ni Nigeria na sio Ghana

- Duh ni kweli mkuu, unajua mpaka leo bado ninakumbuka mtangazaji wa ule mpira alivyolia sana kwenye radio Tino anatupeleka Lagos, ahsante mkuu kwa marekebisho, unajua utamu wa michezo ya zile enzi sio siku hizi hata niliacha kufuatilia maana ni waste of time,

- Unakumbuka ile mechi ya Enugu Rangers na Yanga, saa mbili asubuhi wananchi tupo uwanjani kusubiri mechi ya saa 10.30 jioni, unamkumbuka kipa wao Okalla na Chukwu ule mkoba wao, aahahggrr! Halafu unakumbuka ile mechi ya robo finali ya ubingwa wa Africa, Yanga na Asante Kotoko, I mean unamkumbuka mkali Meshah! aaahagggrr!

Respect.

FMEs!
 
Mpira Tanzania ulikwisha baada ya kubadili jinsi ya kumpata bingwa kutoka kwenye cup tie na kwenda kwenye ligi.

Kama unataka kurudisha mpira wa Tanzania warudishe cup tie hizo ndio zetu.
 
Mpira Tanzania ulikwisha baada ya kubadili jinsi ya kumpata bingwa kutoka kwenye cup tie na kwenda kwenye ligi.

Kama unataka kurudisha mpira wa Tanzania warudishe cup tie hizo ndio zetu.

- Strong point na ni kweli kabisa, toka waanze haya mambo ya ugenini na nyumbani ndio kila kitu kikharibika, enzi zile nusu finali Yanga na Mwadui, Simba na African Sport, agggrrr walahi hazitakuja kurudia tena!

Respect.


FMEs!
 
Hamna kitu...
Kuna wengine wanataja tu list ya wachezaji, ukweli ni kwamba walikuwa very average.
Mimi sikuwaona wa 70s au early 80s. Lakini late 80s kuendelea baado baado sana.

mchezaji ambaye nashangaa hakumake ni Edibily Lunyamila. That guy was something else. That guy was skillful and fast na anacheza kwenye chaki. Wachezaji wa mguu wa kushoto na skillful ni wachache...the guy was something else. Kama kuna mtu anamkumbuka mchezaji wa zamani wa Ajax anaitwa Bryan Roy...Edibily was def. on the same level.


Hussein Marsha alikuwa very skillfull na pasi za uhakika, ila alikuwa mvivu na bitozi...

Mtu kumuweka mchezaji kama Mwakalebela kwenye top defenders ni tusi.....jamaa alikuwa mbovu, sifa yake ni kukata buti za kulala tu.

George Masatu alikuwa mkali, tatizo alikuwa light-weight kama defender. The guy would get bullied.....same thing na kina Hamza Mponda (fikiria mchezaji anakunywa gongo).

Fumo alikuwa na mishuti tu, 9 out of 10 shots zinaenda jukwaani, ila akiupatia kudadeki.

hawa ni wachezaji sikukosa kuwaona kila jumamosi where possible. Wachezaji hawa ndo waliokuja kucheza timu ya Taifa na Simba na Yanga....meaning wa kina Raphael Paul, Athumani China level ile ile, inconsistent.

Wachezaji walikuwa hawana ambition kabisa.....Kitwana Selemani akipanda kwenye gari ya sponsor mwarabu akaweka kishoka na kuzungushwa mjini ndo kamaliza. Wachezaji kwenda uarabuni au Malaysia ndio wametoka.

Look, if Athumani China was so good, why didnt he make it at Reading??
Kumwita Paul Rwechungura golikipa mkali ni tusi, the guy was overweight.......

Ken Mkapa was a bully (no brains) ndo maana akaitwa "Kaburu", au "Mzee wa Kiminyio", "Bruce Lee" etc...the name says alot.

Wale mlio shuhudia mpira wa 70s kama kina FM ES, mtatudanganya kwavile hatujui tu......

Mchezaji akiwa skillful, tunaona skill tuu bila kuona uzuri wake as a Team Player......ndio mambo ya kina Malota Soma "Ball Juggler".....c'mon man. We may have skillful players but we are not team players. Au mchezaji anapiga chenga sehemu asiyotakiwa kupiga chenga....au kanzu, ili mradi watu washabikie.

Kitu kingine kilichochangia kuwasifia hawa, ni utegemezi wa kusikiliza watangazaji redioni.......wana exaggerate vitu. Ukitaka ujue uongo wao ni sawa sawa na leo hii uangalie mpira wa South America halafu usikilize watangazaji wanavyopiga makelele.......
 
Hamna kitu...
Kuna wengine wanataja tu list ya wachezaji, ukweli ni kwamba walikuwa very average.
Mimi sikuwaona wa 70s au early 80s. Lakini late 80s kuendelea baado baado sana.

mchezaji ambaye nashangaa hakumake ni Edibily Lunyamila. That guy was something else. That guy was skillful and fast na anacheza kwenye chaki. Wachezaji wa mguu wa kushoto na skillful ni wachache...the guy was something else. Kama kuna mtu anamkumbuka mchezaji wa zamani wa Ajax anaitwa Bryan Roy...Edibily was def. on the same level.

Hussein Marsha alikuwa very skillfull na pasi za uhakika, ila alikuwa mvivu na bitozi...

Mtu kumuweka mchezaji kama Mwakalebela kwenye top defenders ni tusi.....jamaa alikuwa mbovu, sifa yake ni kukata buti za kulala tu.

George Masatu alikuwa mkali, tatizo alikuwa light-weight kama defender. The guy would get bullied.....same thing na kina Hamza Mponda (fikiria mchezaji anakunywa gongo).

Fumo alikuwa na mishuti tu, 9 out of 10 shots zinaenda jukwaani, ila akiupatia kudadeki.

hawa ni wachezaji sikukosa kuwaona kila jumamosi where possible. Wachezaji hawa ndo waliokuja kucheza timu ya Taifa na Simba na Yanga....meaning wa kina Raphael Paul, Athumani China level ile ile, inconsistent.

Wachezaji walikuwa hawana ambition kabisa.....Kitwana Selemani akipanda kwenye gari ya sponsor mwarabu akaweka kishoka na kuzungushwa mjini ndo kamaliza. Wachezaji kwenda uarabuni au Malaysia ndio wametoka.

Look, if Athumani China was so good, why didnt he make it at Reading??
Kumwita Paul Rwechungura golikipa mkali ni tusi, the guy was overweight.......

Ken Mkapa was a bully (no brains) ndo maana akaitwa "Kaburu", au "Mzee wa Kiminyio", "Bruce Lee" etc...the name says alot.

Wale mlio shuhudia mpira wa 70s kama kina FM ES, mtatudanganya kwavile hatujui tu......

Mchezaji akiwa skillful, tunaona skill tuu bila kuona uzuri wake as a Team Player......ndio mambo ya kina Malota Soma "Ball Juggler".....c'mon man. We may have skillful players but we are not team players. Au mchezaji anapiga chenga sehemu asiyotakiwa kupiga chenga....au kanzu, ili mradi watu washabikie.

Kitu kingine kilichochangia kuwasifia hawa, ni utegemezi wa kusikiliza watangazaji redioni.......wana exaggerate vitu. Ukitaka ujue uongo wao ni sawa sawa na leo hii uangalie mpira wa South America halafu usikilize watangazaji wanavyopiga makelele.......

Unakosea kama ulikuwa hukuona uliza uambiwe mpira wakati huo na sasa. Kumbuka wakati wa akina Sembuli na Sunday Manara tulikuwa tunachukua vikombe vya East Africa yaani Challenge cup kama kawaida. Kuna miaka kuanzia kombe la vijana klabu bingwa hadi taifa? Timu zilikuwa zinakuja kucheza Dar kutoka Ulaya na kukwazwa Dar.

Timu ya Yanga wakati huo walikuwa wanakwenda kuweka kambi Romania kwa mwezi kabla ya msimu kuanza au kama unakumbuka Jinsi Kenya walivyochapwa mara ya mwisho kwa magoli matano uwanja wa Taifa - hizo zilikuwa enzi za akina Thuen Ally na yule mchezaji kutoka Tanga (Cost Union) jina limenitoka baada ya hapo alinunuliwa kwenda uarabuni. Yaani kisoka kuanzia 1983 hadi sasa ndio hakuna mpira, tulikuwa hatufungwi na timu mbovu mbovu kama Kenya, Burundi au Rwanda yaani siku hizi ati nao wanatamba?

East Africa club zilikuwa zinashinda ni Simba na Yanga na mpira wakati huo ni wa uhakika. Baada ya hapo ndio wakaingia akina Leodgar Tenga, Jellah Mtwaga et al lakini hakuna cha kujivunia. Au umesahau jinsi Mehallah El Kubra walivyotolewa jasho na Simba au Emugu Rangers walipowekwa kibindoni na Yanga?


Kombe la Afrika tulishiriki kwa mara ya mwisho 1980 fainali zilikuwa Nigeria. Ukiangalia vikombe vingi vilipatikana enzi hizo Muulize Tenga akupe data kutoka TFF. Makocha walikuwepo wakati huo walikuwa wa uhakika sio kama Maximo. Wengine walikuwa wazalendo tu. Huo mpira wa kusikiliza unaosema ni ule wa Zambia ambako Peter Tino alifunga goli la kutupeleka Nigeria 1980.
 
Unakosea kama ulikuwa hukuona uliza uambiwe mpira wakati huo na sasa. Kumbuka wakati wa akina Sembuli na Sunday Manara tulikuwa tunachukua vikombe vya East Africa yaani Challenge cup kama kawaida. Kuna miaka kuanzia kombe la vijana klabu bingwa hadi taifa? Timu zilikuwa zinakuja kucheza Dar kutoka Ulaya na kukwazwa Dar.

Timu ya Yanga wakati huo walikuwa wanakwenda kuweka kambi Romania kwa mwezi kabla ya msimu kuanza au kama unakumbuka Jinsi Kenya walivyochapwa mara ya mwisho kwa magoli matano uwanja wa Taifa - hizo zilikuwa enzi za akina Thuen Ally na yule mchezaji kutoka Tanga (Cost Union) jina limenitoka baada ya hapo alinunuliwa kwenda uarabuni. Yaani kisoka kuanzia 1983 hadi sasa ndio hakuna mpira, tulikuwa hatufungwi na timu mbovu mbovu kama Kenya, Burundi au Rwanda yaani siku hizi ati nao wanatamba?

East Africa club zilikuwa zinashinda ni Simba na Yanga na mpira wakati huo ni wa uhakika. Baada ya hapo ndio wakaingia akina Leodgar Tenga, Jellah Mtwaga et al lakini hakuna cha kujivunia. Au umesahau jinsi Mehallah El Kubra walivyotolewa jasho na Simba au Emugu Rangers walipowekwa kibindoni na Yanga?


Kombe la Afrika tulishiriki kwa mara ya mwisho 1980 fainali zilikuwa Nigeria. Ukiangalia vikombe vingi vilipatikana enzi hizo Muulize Tenga akupe data kutoka TFF. Makocha walikuwepo wakati huo walikuwa wa uhakika sio kama Maximo. Wengine walikuwa wazalendo tu. Huo mpira wa kusikiliza unaosema ni ule wa Zambia ambako Peter Tino alifunga goli la kutupeleka Nigeria 1980.

Wengine tulikuwa hatujazaliwa kipindi hicho...ndio maana hatuko convinced. Tunaomba video as proof basi. I mean kama video za WC 66 zipo, kwanini msi-share historia kwa njia ya mkanda tuone wenyewe?

What happened in the 80s onwards? Mimi nina mkanda nadhani wa Pamba na Simba au Pamba na Yanga, nitau-convert nikipata muda.

Kwani Sunday Manara anafanya nini siku hizi?
 
dah wazeiya si mchezo mmenitoa machozi, mtua nayesema hatukuwa na wachezaji labda yeye si mshabiki wa mpira hata kidogo. KUna hizi timu tatu kwa kweli zilikuwa zinanikuna sana tu. Pamba ya akina Joram mwakatika, Tukuyu Stars ya akina sekilojo chambua na Maji maji ya akina Peter Tino. Nilishuhudia mechi nyingi sana za Pamba wakicheza, sijaona watu wakisakata kabumbu namna ile, akina Joram mwakatika enzi hizo ile ilikuwa timu bana. Tukuyu Stars yule dogo sekilojo alikuwa na ball control ya ajabu sana. Wana Lizombe nao kwa kweli standard ile waliofikia ilikuwa ya juu sana, mtu kama Marehemu Celestian sikinde Mbunga, Samli ayoub, Hamis Fande, Madaraka selemani,Peter Tino na hii mido ilikuwa inaitwa OCTAVIAN MROPE ilikuwa balaa tupu. Kuna Timu nyingine ikiitwa MECCO ya MBY, wale jamaa sifa yao ya kwanza walikuwa na uwezo wa kucheza kwa dk 300. walikuwa wanafanya mazoezi si mchezo na uwanjani gonga zao utadhani barcelona. Kuna Nyota Nyekundu, Kwa kweli wakati ule kulikuwa na vipaji lkn hakukuwa na mwamko kama huu wa JK, laiti ungekuwepo nadhani mambo ya soka bongo tungekuwa juu sana.
 
1.Athumani Mambosasa-If in doubt ask any Egypt's Mehalla el- Kubra 1970's fan.

2. Sunday Manara-First ever Tanzanian footballer to play professional in Europe.

3.Abdallah Kibadeni-Simply King.

4. Gibson Sembuli-Hot shoot Hamish.

5. Maulidi Dilunga-African 11 Captain.

6. Omary Mahadhi-Tanzania One(Original)

7. Zamoyoni Mogella-Golden Boy

8. Gobos-Pioneer

9. Omary Gumbo-Zilipendwa

10. Omary Hussaini-Keegan

Nashangaa sana katika kundi hili mbona mmemsahau kiungo mahili wa Young Africans aliyecheza na hao mliowataja hapo juu ABDULHAMAN JUMA!! Wana JF naomba kama kuna mtu anayekumbuka list ya timu ya Yanga iliyocheza na Ahsante Kotoko halafu Yanga ikatolewa kwa shilingi!! Nawakumbuka Dilunga. Gobbos, Kilambo, Boi, Na Abdulhaman Juma nijazieni wngine tafadhalli
 
Hamna kitu...
.
Mimi sikuwaona wa 70s au early 80s. Lakini late 80s kuendelea baado baado sana. mchezaji ambaye nashangaa hakumake ni Edibily Lunyamila. That guy was something else. That guy was skillful and fast na anacheza kwenye chaki. Wachezaji wa mguu wa kushoto na skillful ni wachache...the guy was something else. Kama kuna mtu anamkumbuka mchezaji wa zamani wa Ajax anaitwa Bryan Roy...Edibily was def. on the same level.

- Mkuu hapa nafikirii the ishu ni lini umeanza kujihusisha na mpira period na hasa nini IQ yako na huu mchezo, wengine tulikuwa tunaucheza toka chandimu, na kukusaidia zaidi ni kwamba enzi hizo Tanzania kutokana na siasa iliyokuwepo entertainment kwa wananchi baada ya kazi, haikuwa na nafasi sana katika ule mfumo wa utawala, kwa hiyo ni mpira na ubaharia, baadaye na muziki wa Disco ndivyo vilitawala as a must thing kwa vijana wengi wa mijini, as the results pamoja na umri mdogo tuliokuwa nao, bado tuliweza kufuatilia mpira wa hapa bongo na hata nje pia tena to the extreme levels.

- Edibily, alikuwa almost level ya Leonard Chitete wa Yanga, kwa kuweza kucheza na chaki always, lakini bado asingeweza kumzidi Chitete na Willy Mwaijibe wa Simba. Huko Ajax ya Uholanzi tunamkumbuka sana Joan Cruyff ambaye ndiye pekee aliyejulikana sana in the 80s toka hiyo timu, halafu pia una raise a very interesting question maana hawa kina Bryan Roy na Cruffy wewe ulikuwa hujazaliwa sasa umejuaje mkuu?


Hussein Marsha alikuwa very skillfull na pasi za uhakika, ila alikuwa mvivu na bitozi...Mtu kumuweka mchezaji kama Mwakalebela kwenye top defenders ni tusi.....jamaa alikuwa mbovu, sifa yake ni kukata buti za kulala tu.
George Masatu alikuwa mkali, tatizo alikuwa light-weight kama defender. The guy would get bullied.....same thing na kina Hamza Mponda (fikiria mchezaji anakunywa gongo).Fumo alikuwa na mishuti tu, 9 out of 10 shots zinaenda jukwaani, ila akiupatia kudadeki.

hawa ni wachezaji sikukosa kuwaona kila jumamosi where possible. Wachezaji hawa ndo waliokuja kucheza timu ya Taifa na Simba na Yanga....meaning wa kina Raphael Paul, Athumani China level ile ile, inconsistent. Wachezaji walikuwa hawana ambition kabisa.....Kitwana Selemani akipanda kwenye gari ya sponsor mwarabu akaweka kishoka na kuzungushwa mjini ndo kamaliza. Wachezaji kwenda uarabuni au Malaysia ndio wametoka.

Look, if Athumani China was so good, why didnt he make it at Reading??
Kumwita Paul Rwechungura golikipa mkali ni tusi, the guy was overweight.......Ken Mkapa was a bully (no brains) ndo maana akaitwa "Kaburu", au "Mzee wa Kiminyio", "Bruce Lee" etc...the name says alot.

Wale mlio shuhudia mpira wa 70s kama kina FM ES, mtatudanganya kwavile hatujui tu......

Mchezaji akiwa skillful, tunaona skill tuu bila kuona uzuri wake as a Team Player......ndio mambo ya kina Malota Soma "Ball Juggler".....c'mon man. We may have skillful players but we are not team players. Au mchezaji anapiga chenga sehemu asiyotakiwa kupiga chenga....au kanzu, ili mradi watu washabikie. Kitu kingine kilichochangia kuwasifia hawa, ni utegemezi wa kusikiliza watangazaji redioni.......wana exaggerate vitu. Ukitaka ujue uongo wao ni sawa sawa na leo hii uangalie mpira wa South America halafu usikilize watangazaji wanavyopiga makelele......

- Athumani China, alikuwa ndio masalio ya mwisho mwisho ya the enzi, ambapo kwenye hiyo line ya mwisho wa enzi, utawakuta kina Said Kizota, Mlage Kabange, Rashid Idd Chama, Freddy Felix Minziro, Zamoyoni Mogella, Omar Hussein, Malota Soma, Hassan Gagarino, Juma Mkambi, Makumbi Juma, Gebo Peter, Mwalusako, Jamhuri Kiwelo, Mwameja, na wengineo they were just local heros, lakini internationally hakuna aliyewajua na hawakuwahi kushinda ubingwa wowote nje ya bongo!

- Enzi za 70s, nilikuwa dogo lakini wazazi wengi enzi hizo walikuwa na tabia ya kutuchukua huko uwanja wa Taifa na Karume, kwenye mechi kubwa, kwa hiyo yes nilianza na idea na mpira nikiwa dogo sana na besides, mashuleni hata majumbani ilikuwa must mambo ya chandimu kwa hiyo ndio maana sina tatizo ku-analyse mpira wa sasa na wa zamani, binafsi siku hizi niliacha hata kufuatilia locally maana nili-conclude siku nyingi kuwa ni waste of time!

- Kwa hiyo mkuu sina sababu ya kukudanganya, in the 80s mpaka mwishoni mwa 90s, bongo tumeishi mpira, Disco, Muziki wa local bands, na ubaharia. Naona in the 2000s, imekuwa bongoflav na siasa zaidi. Malota Soma, alikuwa good locally infact usingeweza kuuona uzuri wa Mogella bila kuwepo Malota, ndio maana siku zote walikuwa wakifuatana kila wanpokwenda.

- Otherwise, mkuu huu wa sasa sio mppira tena ni just a pass time thing, infact leo kila fani ya michezo nchin imeshuka na hakuna uwezekano wa kufikia level ya zamani, ingawa shocking thing ni kwamba wachezaji wa sasa wanalipwa hela za ajabu sana, kuliko wale bora zaidi wa zamani!

Respect.

FMEs!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom