Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,971
- 3,829
yaani habari za mashabiki unanikumbusha yule wa RELI YA MORO- YA MUNGU......!Naona katika majina yenu mmewasahau wakongwe Titus Bandawe na Bwana Mkubwa Yanga Omari na huku Nje kuna Shabiki Mkubwa Hamis Mduruma (RIP),Wakati huo Jumamosi mji mzima unahamia Mkwakwani...
Wakati simba inafungwa na yanga JABIR SHIKAMKONO alinyoa nywele.....!
i like this.....!