Future-Tanzania
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 334
- 7
- Then next time usilete habari za familia za watu hapa JF, ya kuchinganisha familia za watu sidhani kama unataka niende hiyo avenue na wewe do you real want that?
- Lakini pia ninakushukuru sana kwa kuileta topic hii hujui tu what you did na Mungu atakuzidishia.
Respect.
FMES!
You have always had my support and respect on your contributions here at JF but I think in this topic you are out of respect to other peoples family privacy.
Na mtu aliyoleta topic hapa ajasema ulete coments zako za ohh Dr whoever hamsaidii baba yake. my question is how do you really know? Baba yake amewai kukulalamiia? Au ni umbea wako? And you said clearly you dont have contacts with the family that is why you didnt have phone number of the dr? so are you lying to wanaJF about your comments about huyu Dr?
To be honest I feel you have personal hate rage towards this person. Na wewe kama mwanJF amaye umetoa michango mingi humu kurekebisha na kuendeleza Tanzania na watanzania then you should be so ashamed of being shallow minded into knowing were your limit are with respect to family peace and respect.
Also if you are true friend of the late brother of this Dr Then you should learn how to respect his family and keep his family secret. That is what true friends do.
Would you please stop using the word respect because you have none to other peoples family affairs.