Da vinci jr
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 202
- 34
JE.ni haki kwa wanafunzi wanao fanya A.Physics kufanya mtihani kwa masaa ma3 wakati Divinity ni masaa ma3 na nusu?
asee ule mtihani ni mwingi man...ni haki kabisa kwani inategemea wingi wamaswali na format yake...
JE.ni haki kwa wanafunzi wanao fanya A.Physics kufanya mtihani kwa masaa ma3 wakati Divinity ni masaa ma3 na nusu?
Nina uwakika kabisa,Yale maswali kuua soma na kuyaelewa tu...ni lisaa kimoja...toff auto ni kiwamba,mnasoma ambayo walifanya Mitanni kwa masaa ma3 ni Yale ambayo hayahitaji mida refi wa kuyaelewa maswali..siriously,divinity 3hours afu physics 2.5?tatizo lako ni muda? Hata ukipewa masaa kumi kama hujui hujui tu.
tatizo lako ni muda? Hata ukipewa masaa kumi kama hujui hujui tu.