Happy New Year 2024

vvm

JF-Expert Member
Jul 18, 2014
6,311
10,353
EF8F0355-F9CA-42AD-8690-6933C4460CF9.jpeg

It's now 2024 in eastern parts of Australia, with Sydney, Canberra and Melbourne becoming the latest cities to welcome the new year.

Rasmi ni 2024 imeingia kwa Sehemu ya Miji ya Australia-Sydney,canberra na Melbrone wamekwisha uona Mwaka mpya, hata hivyo Tanzania kutokana na Utofauti wa Masaa muda wetu wakusherekea Bado masaa 6 na dkk 55 , ila yote kwa yote Mungu ni Mkubwa Heri ya Mwaka mpya 2024!
 
Clock ticks mpk pale 00:00 alooo
😂😂😂 the vibe wil be vibing
Mambo ni kweree

Mwaka mpya na mambo yetu yale yale yaliobaki 2023, tunavusha tu.
 
Clock ticks mpk pale 00:00 alooo
😂😂😂 the vibe wil be vibing
Mambo ni kweree

Mwaka mpya na mambo yetu yale yale yaliobaki 2023, tunavusha tu.
Acha ata moja la ovyo tafuta jipa la maana twende nalo 2024 😂😂
 
Back
Top Bottom