Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Amefungwa jela Mwaka mmoja na Mahakama moja ya Mwanzo Kariakoo baada ya kutiwa hatiani kwa kumshambulia mkazi mmoja wa Dar Khalid Mohamed.
Jina la kamili la TID ni Khalid Mohamed, sasa unataka kusema ameswekwa jela kwa kujidunda mwenyewe au ni coincidence tu?