Kwani Tabora si sehemu ya congo? Mbona kuna wacongomani wengi sana, hata warudi na wanayarwanda pia na kuna maprofesa wawili wajinga wajinga yaani Kapuya na Lipumba.Angekua waziri wa museven..labda
Kwani Tabora si sehemu ya congo? Mbona kuna wacongomani wengi sana, hata warudi na wanayarwanda pia na kuna maprofesa wawili wajinga wajinga yaani Kapuya na Lipumba.Angekua waziri wa museven..labda
Angekua waziri wa museven..labda
Tanzania kuna ma prof wawili tu nnaowajua pro kabudi na majamba....wengine njaa tu.
Hivi Maprofessor wa Tanzania ni nani aliyewaroga?
Kwanini msijikite kwenye courses mlizosomea badala ya kukimbilia siasani tu?
Hata kama anazo nyingi kiasi gani bado haiingii akilini, jimbon kwake kuna matatizokibao , jiulize ni wangapi wanakufa kwa kukosa huduma ya afya ? Hizo m200 si zingetosha kwa zahati 1? Wangapi wanakufa kwa kunywa maji machafu jimbon kwake ? Hizo m200 ni visima vingapi vya maji ? au xray 1 au ultrasound 1 ni sh ? Huu uprof. Naona una matatzo sitaman hata kuupata.Huyu mama atakua kaangalia series moja Netflix inaitwa House of Cards, hehehe tusichezeane akili, unakataa 200M kwa moyo moja? doesn't happen unless unayo mara 100 ya hiyo au unacheza na akili za watu.
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi
Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.
Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.
Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.
Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Wakora waitu.. Hili alina akili kabisa!!mtoa post huna akili aujui kwanini hajachukua pesa pili hujajua kasema nini kaa kimnya!!!!yeye kawaambia kupokea pesa haifai ila mm ninetoka ulemkoa ulopata maafa nazan ushapata jib tumia akili ya kujiongeza.
Mkuu unayoyasema ni ya kweli,jamaa kavurugwa haswa.SITAKI KUWA PROFESA MAANA HATA KITILIA MKUMBO TOKA AWE PROFESA NOW A DAYS SIMUELEWI, LIPUMBA NAYE NDO KADATA ANALALA OFISINI