Tuzo hii ni sawa na ya Nobel ambapo pesa hupokea anayeshinda mchujo. Tuzo hii si ya UN na kimaadili UN haitoi zawadi ya pesa kwa mtu!!
Alichofanya ni blackmailing. Mtoa tuzo ni Prince wa Kuwait na Waziri Mkuu. Prof. Tibaijuka kaona nafasi ya kupata pesa nyingi zaidi kwa ajili ya maafa na anaweza kuwa ameelekeza pesa hizo zipelekwe huko ili kusaidia jambo linaloweza kufanya mtoaji kuongeza.
Alichofanya ni blackmailing. Mtoa tuzo ni Prince wa Kuwait na Waziri Mkuu. Prof. Tibaijuka kaona nafasi ya kupata pesa nyingi zaidi kwa ajili ya maafa na anaweza kuwa ameelekeza pesa hizo zipelekwe huko ili kusaidia jambo linaloweza kufanya mtoaji kuongeza.