nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,771
- 5,315
vipi magufuli naye hajajifunzaa??Alikuwa hajajifunza, kuishi ni kujifunza
maana alipokea zawadi ya ng'ombe kule kwa dikteta kagame!!!
hivi hizo ng'ombe zipo wapi sasahivi??
vipi magufuli naye hajajifunzaa??Alikuwa hajajifunza, kuishi ni kujifunza
Leo ndo anajikuta ana morals
Kwanini asingesema hivyo wakati wanamgawia zile fedha za escrow
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi
Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.
Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.
Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.
Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Mkuu ina maana kama Bukoba ingekuwa Uganda leo hii Tibaijuka angekuwa mganda?Nyerere angemuacha tu idi amini awachukue hawa wahaya naona hawafanani kabisa kitabia na sisi
Ile 1.6 inatosha, mama hana tamaaaKitendo cha Serikali kutafuta pesa kwa ajili ya kusaidia wahanga wa tetemeko wa mkoa wa Kagera huku jimbo la Buleba likiwa ni sehemu ya mkoa wa Kagera Mbunge wake akiwa ni Profesa Anna Tibaijuka ambaye hivi karibuni ameshinda tuzo ya kimataifa ya maswala ya uongozi na KUKATAA TAKRIBANI T..SH 200 MIL KAMA KIAMBATA CHA TUZO.NI JAMBO LA KUSTAJABISHA KWA KIONGOZI MKUU KAMA HUYU ANAYETOKA KATIKA ENEO LILILOATHIRIKA NA JANGA HILI AMBAPO BADO JUHUDI ZA KUKUSANYA MICHANGO ZINAENDELEA FANYIKA. LAITI KAMA NINGEKUWA NI MWENYEKITI WA CCM NINGEMVUA UANACHAMA KAMA HATUA MUHIMU YA KUELEKEA MVUA UBUNGE WAKE
Mkuu nmeoa mhaya hivyo chunga ulimi wakoNyerere angemuacha tu idi amini awachukue hawa wahaya naona hawafanani kabisa kitabia na sisi
90%!ya maprofesa wa Tanzania ni wajinga wajinga sana mfano angalia matendo ya kapuya hata wale wenye phd akina mwakyembe walinunua mabehewa feki huku akimfundisha uzushi phd mwenzake Slaa, wenzao akina kitila, lipumba wamekuwa vioja kwa kweli Uprofesa wa Tz ni kitukoHivi Maprofessor wa Tanzania ni nani aliyewaroga?
Kwanini msijikite kwenye courses mlizosomea badala ya kukimbilia siasani tu?
Slaa hakuuzwa alirubuniwa na membe akanunuliwa kwa pesa haramu za marehemu Gadafi. Sasa hv anajutia baada ya kugundua alichofanya ni ujinga.ILE TIMU YENU ILIYOENDA UJERUMANI KUHONGWA WAO,WAO WANGECHUKUA FASTA FASTA, NJAA MBAYA SANA NDIO MAANA DR.SLAA MULIMUUZA KAMA MTUMBA.
Mkuu ina maana kama Bukoba ingekuwa Uganda leo hii Tibaijuka angekuwa mganda?