Tibaijuka akataa kupokea shilingi 200 millioni

Nakubaliana nawe hii ni pesa yake halali, hakuna maadili ya kukataa pesa halali....AMEKURUPUKA!
Wanasiasa wengi huwa wanapenda sana maigizo kuliko ukweli, hapo alidhani anajiongezea political credits kumbe anajiharibia. Kutenda bila kufikiri.
 
Kwa nini asingezichukua na kusema anazi dedicated kwa wahanga wa tetemeko mikoani kwake, na hiyo cheque akamkabidhi Rais? Au mwenzetu amezoea ten digits?
 
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.

Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.

Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.

Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Apokee tu afanye za Unga au Mchelee maana za mboga tayari anazo
 
Khe khe kheeeeeee maadili hayo hakuyajua alipoamua kupokea bilioni 1.6 na kupiga kimya hadi alipogundua limebuma ndiyo akaamua kujitaja kwamba naye kapokea bulungutu.

Wewe huna hata tone la maadili kumkosoa Tibaijuka. Tokea umtukane Lowassa kwa ufisadi mpaka kugeuka kuwa mpambe wake halafu uwe na uthubutu wa kuwakosoa wengine kimaadili? Kichekesho cha karne.
 
Hahaha Mama sio una kamtu Marekani amefungua Acount kwa niaba yako pesa ziingie huko !
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Watanzania kwa unafiki hakuna anayetufikia, unakataa kupokea pesa za halali huku za gizani unalamba...!

hypocrisy can be compared to a man
who murders both his parents
and then pleads for mercy
on grounds that he is an orphan!
- by Abraham Lincoln
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni mabadiliko ya hali ya hewa na tabia za nchi uoto wa asili

1475169649826.jpg


Green is life
 
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.

Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.

Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.

Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.

MAMA TIBAIJUKA ACHA KUDANGANYA, KWA NINI HAJAKATAA PESA ZA TEGETA? TIBAIJUKA NI MAMA MWENYE AKILI, NA AMESOMA, HATA MJINGA ANGETAMBUA PESA ANAZOPOKEA SIYO ZA HARALI, ANGEKATAA LAKINI ALIPOKEA, NA ALIVYOAMBIWA AJIUZURU, KWA JEURI ALIKATAA. HUYU MAMA ALIKUWA AKIHESHIMIKA SANA, KUKUBALI PESA HIZO ZIMEVUA NGUO. NILILIMSIFU SANA HASWA ALIPOTOWA HOTUBA YAKE KWENYE MUKUTANO MKUU WA KUONDOA NJAA AFRICA, HUKO UINGEREZA AKIWA NA RAIS MUSTAAFU MKAPA. KWENYE HOTUBA YAKE ALISEMA AFRICA NI TAJIRI LAKINI INAIBIWA KILA KONA (AFRICA IS NOT POOR BUT IT IS BEING LOOTED LEFT RIGHT) NILISHANGILIA HOTUBA YAKE SANA NILIJIVUNUA MAMA WA KITANZANIA KUITETEA AFRICA. ALIPOPOKEA PESA ZA TEGETA ESCROW, NIKAMUONDELEA HESHIMA YANGU, NIKAMUWEKA KWENYE GROUP LA VIONGOZI WANAOWADHURUMU WANAOWAONGOZA WANYONGE WA AFRICA. ZAWADI WANAZOPEWA HAWA BAADHI YA HAWA VIONGOZI WETU HAZIENDANI NA VITENDO VYAO, ZINAKUWA HAZINA MAANA KWA WATANZANIA.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hawa Ma Prof wa inji hii ni tatizo ,huyu mama haiba yake kimataifa imeshuka sana baada ya ile mambo ya ESCROW.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom