pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,556
Mtu anapewa pesa ya wizi anapokea tena kwa mikono miwili...akipewa pesa ya halali kwa watu kuthamini mchango wake katika kazi anakataa...eti maadili.
Kwa hiyo anataka kutuambia maadili ya Tanzania kwa viongozi wa umma ni kupokea pesa za wizi siyo???
Naona orodha ya professors wa ajabu ajabu Kutoka Tanzania inazidi kuongezeka.
Cha kusikitisha wote wanatoka UDSM...what a shame.
Kwa hiyo anataka kutuambia maadili ya Tanzania kwa viongozi wa umma ni kupokea pesa za wizi siyo???
Naona orodha ya professors wa ajabu ajabu Kutoka Tanzania inazidi kuongezeka.
Cha kusikitisha wote wanatoka UDSM...what a shame.