jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Igizo jingine jipyaaa aisee
B
Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.
ZILE FEDHA ZA MBOGA AU MCHICHA MBONA ALIPOKEA, AMERUDISHA AU BADO NI COMEDY TU KAMA KAWA????????????????????
what a drama...!By Raymond Kaminyoge, Mwananchi
Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.
Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.
Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.
Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Ya Escrow ilikuwa hela ya mboga ' just as she claimed' siyo ya tuzo.Khe khe kheeeeeee maadili hayo hakuyajua alipoamua kupokea bilioni 1.6 na kupiga kimya hadi alipogundua limebuma ndiyo akaamua kujitaja kwamba naye kapokea bulungutu.
Aseee mama acha utani, ujue m nashida na kulipia kodi, chukua kisha nigawie 6k,tu utabarikiwa...By Raymond Kaminyoge, Mwananchi
Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.
Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.
Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.
Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Alikuwa hajajifunza, kuishi ni kujifunzaLeo ndo anajikuta ana morals
Kwanini asingesema hivyo wakati wanamgawia zile fedha za escrow
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi
Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.
Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.
Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.
Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
NCHI MASKINI KAMA YA KWETU MTU ANAKATAA PESA KISHA ANATUSANIFU.KILA SIKU WANAENDA NJE KUOMBA MISAADA HALAFUHizi ni kauli za kihuni kabisa, wapi maadili ya nchi hii yaliposema kiongozi anakatazwa kupokea Tuzo ya wazi kama hiyo inayoambatana na fedha? Huo ni upuuzi unao endelea kuonyeshwa na maprofesa wetu. Kama yeye hana Shida ya Pesa na akazipokea na kupeleka hata jimboni na kuwaambia hii ni zawadi (Tuzo) yangu naomba inunue madawa kwenye zahanati hata wapiga kura wake sii wangemuona wa maana!
Hapo kaonyesha tuu dharau kwa waliokuwa wanansema juu ya zile za Escrow